Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,937
Inshallah
Hopefully atabeba pia World Cup na Argentina
Hopefully atabeba pia World Cup na Argentina
Naona umehamisha magori Greizman na kinga pogba wana WC lakni hawafikii ata theluthi ya ubora wa kingHopefully atabeba pia World Cup na Argentina
Sasa hata EPL mbona bingwa wa msimu huu na ujao ni Man city tu anajulikana labda kama wew haujui pole yako
af kumbe ka numbisa ni kademuAngaloa avatar basi mara hii nimekua jamaa aiseee
Uko sahihi. Lakini kuna mchezaji gani kwa sasa anaweza kuvaa Viatu vya Messi kama kesho anastahili? Messi ndio X factor ya Barca kwa sasa
Huu mjadala ni mpana kama Bahari ya Hindi mtu ukimbana Coco beach anaibukia Kawe Beach 😂😂😂Naona umehamisha magori Greizman na kinga pogba wana WC lakni hawafikii ata theluthi ya ubora wa king
Naona umehamisha magori Greizman na kinga pogba wana WC lakni hawafikii ata theluthi ya ubora wa king
af kumbe ka numbisa ni kademu
Naona umehamisha magori Greizman na kinga pogba wana WC lakni hawafikii ata theluthi ya ubora wa king
nimeumia sana nlipogundua nabishana na mwanamke ila hiki kiumbe ni kibishi
Swali la kizushi-kutokana na Messi anavyojibadilisha kama kinyonga katika uchezaji wake-unafikiri how many more years anazo katika top flight?Hayo ni maneno ya Argentina fans niliokutana nao in S. America in person. Wamesema siku Messi akishinda World Cup ndio watampa heshima ya Maradona. Until now, in their own words, Maradona atabaki juu ya Messi
Mkuu uko sawa kabisa. Hili suala la ligi ipi bora zaid kati ya la liga na EPL tulishalihitimishaga zamani tatizo mashabiki wa EPL team wanaangalia kigezo kimoja tu cha competition ambacho kwa kias kikubwa kinachangiwa na team nyingi za EPL kuendana viwango. Ni kosa kubwa sana team kama Liverpool,Chelsea,asernal, kuziweka kundi moja na Realmadrid na Barcelona ndo maana unaona zinadominate Spain na ulaya kiujumla.Jana nilikua nawaangalia Chelsea na Man U. Nikakumbuka vile Barca imewanyanyasa Man U, alafu Chelsea wanashindwa kuwafunga.
Nikakumbuka vile Barca amewanyanyasa Tottenham hapo Wembley, then wakadroo na Barcelona B Camp Nou. Alafu nikakumbuka eti hao Tottenham ndio wamemzuia Man City.
Kuna kitu kimoja niliconclude. EPL is the most competitive league in the the world. Sababu ni moja tu, all teams are average!
Barca na Madrid wanatawala Laliga sababu quality yao ni above ordinary standards. Ndio maana ni ngumu kwa team kama Sevilla kushinda Laliga mbele ya hawa jamaa wawili.
Ila akina Sevilla wakikutana na hawa jamaa wa EPL, sote tunafahamu nini hua kinatokea. Sio Man U, sio Liverpool wala Chelsea aliefurukuta kwa Sevilla.
Tukubaliane tu, kwenye club football kuna team ambazo ni too good to compete against other teams. Hapa utaiongelea Barca, Madrid na Bayern japo Madrid na Bayern hawako form kwa sasa. Baada ya hapo ndio linakuja daraja la pili lenye hawa wengine kama Liver, City, Chelsea, Man U, Atletico, PSG, Juve and the like.
Mwisho, nakubali EPL is the most competetive league (not the best), sababu ya uwezo wa team nyingi kuendana. Ila ukiongelea the best, tunaongelea achievements ambapo UCL na EUROPA league comes into play. For the last ten years, its Laliga!
Katika sayari hii hakuna anaeweza kuvaa viatu vya Messi. Barca wanalijua hilo. Messi hawezi kua replaced na mchezaji mmoja, anakua replaced na system ya wachezaji kadhaa.Uko sahihi. Lakini kuna mchezaji gani kwa sasa anaweza kuvaa Viatu vya Messi kama kesho anastahili? Messi ndio X factor ya Barca kwa sasa
Hata wakisema hao si mashoga tuHayo ni maneno ya Argentina fans niliokutana nao in S. America in person. Wamesema siku Messi akishinda World Cup ndio watampa heshima ya Maradona. Until now, in their own words, Maradona atabaki juu ya Messi
You are damn right,cometh the day Messi hangs up his boots-Barca will never be caught napping like Real Madrid visa-vis Ronaldo.Katika sayari hii hakuna anaeweza kuvaa viatu vya Messi. Barca wanalijua hilo. Messi hawezi kua replaced na mchezaji mmoja, anakua replaced na system ya wachezaji kadhaa.
Ndio maana unawaona akina Dembele na makinda wengine wakisajiliwa. Kuna kitu kinatengenezwa, team inaandaliwa!
Kwa maandalizi tuliyoyaanza mapema, team haitapata shida sana kwenye transition period kama wanayopitia Madrid. Ronaldo kawaacha ghafla, akina Modric umri unawakataa. Kifupi hawakuwa tayari.
Stay calm, and watch Barca!
Katika sayari hii hakuna anaeweza kuvaa viatu vya Messi. Barca wanalijua hilo. Messi hawezi kua replaced na mchezaji mmoja, anakua replaced na system ya wachezaji kadhaa.
Ndio maana unawaona akina Dembele na makinda wengine wakisajiliwa. Kuna kitu kinatengenezwa, team inaandaliwa!
Kwa maandalizi tuliyoyaanza mapema, team haitapata shida sana kwenye transition period kama wanayopitia Madrid. Ronaldo kawaacha ghafla, akina Modric umri unawakataa. Kifupi hawakuwa tayari.
Stay calm, and watch Barca!