FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mkuu Nina imani Pep akijipanga vizuri atatoa changamoto sana kule UCL
Ukizingatia Messi in the next few years he’ll call it quits. The question comes: what’s the future of Barca without Messi?
Miaka kama 10 iliopita swali lilikuwa "What's the future of Barça without Ronaldinho"

Mzee subiri Barça haito isha kukushangaza
 
Turudini kwenye mipango yetu ya Uefa tutawezaje kuwazuia hawa kina Mane na beki zetu zile kina lenglet ?

Kama nilivyosema huko nyuma it’s all about the battle of tactics between 2 managers. Whoever gets it right will win this duel
 
Miaka kama 10 iliopita swali lilikuwa "What's the future of Barça without Ronaldinho"

Mzee subiri Barça haito isha kukushangaza

Uko sahihi. Lakini kuna mchezaji gani kwa sasa anaweza kuvaa Viatu vya Messi kama kesho anastahili? Messi ndio X factor ya Barca kwa sasa
 
Wapo wengi tu hata Messi anaelewa hilo, kwani Messi akistaafu, akiumwa, akifa au kuhama Barca ndipo kutakuwa mwisho wa Barca kuwa na mafanikio?

Au kabla ya Messi kung'aa Barca hawakuwa na wachezaji waliokuwa wakifanikiwa vzr tu kuichezea nafasi yake kama sasa hivi?
Uko sahihi. Lakini kuna mchezaji gani kwa sasa anaweza kuvaa Viatu vya Messi kama kesho anastahili? Messi ndio X factor ya Barca kwa sasa
 
Au miaka mi3 ambayo R.Madrid walikuwa wanabeba kombe la UEFA mfululizo Messi hakuwa akivaa hivyo viatu vyake?

Alifanya kipi hasa ili kuiwezesha Barca ichukue hilo kombe hata mara 1 tu?

Acha kumtukuza Binadamu kama Mungu
Uko sahihi. Lakini kuna mchezaji gani kwa sasa anaweza kuvaa Viatu vya Messi kama kesho anastahili? Messi ndio X factor ya Barca kwa sasa
 
Wapo wengi tu hata Messi anaelewa hilo, kwani Messi akistaafu, akiumwa, akifa au kuhama Barca ndipo kutakuwa mwisho wa Barca kuwa na mafanikio?

Au kabla ya Messi kung'aa Barca hawakuwa na wachezaji waliokuwa wakifanikiwa vzr tu kuichezea nafasi yake kama sasa hivi?

Messi akistaafu hautakuwa mwisho wa Barca lakini Barca itarudi enzi zake za kuwa timu ya kawaida
 
Au miaka mi3 ambayo R.Madrid walikuwa wanabeba kombe la UEFA mfululizo Messi hakuwa akivaa hivyo viatu vyake?

Alifanya kipi hasa ili kuiwezesha Barca ichukue hilo kombe hata mara 1 tu?

Acha kumtukuza Binadamu kama Mungu

No simtukuzi binadamu mwenzangu kama Mungu!
Kwa kuongezea ndio maana hajashinda chochote na The Albiscete kwa hiyo pia ana udhaifu wake
 
Binafsi nilikuwa mshabiki mzuri sana wa Barca alipokuwa Eto'o na Gaucho, nilikuja kuichukia Barca baada ya ubaguzi wake wa rangi hasa juu ya Waafrika.

Barca ilikuwa makini hata kabla Messi hakuanza kung'aa chini ya Rijkard lkn bado iliendelea kuwa vzr zaidi ilipokuwa na Messi.

Linapokuja swala la maajabu ya mpira huwa hakuangaliwi ball position bali ushindi tu.

Unakumbuka ile mechi Barca anatolewa na Intermillan, ni timu ipi ilistahili kutolewa kati ya Barca na Intermillan?
Messi akistaafu hautakuwa mwisho wa Barca lakini Barca itarudi enzi zake za kuwa timu ya kawaida
 
Binafsi nilikuwa mshabiki mzuri sana wa Barca alipokuwa Eto'o na Gaucho, nilikuja kuichukia Barca baada ya ubaguzi wake wa rangi hasa juu ya Waafrika.

Barca ilikuwa makini hata kabla Messi hakuanza kung'aa chini ya Rijkard lkn bado iliendelea kuwa vzr zaidi ilipokuwa na Messi.

Linapokuja swala la maajabu ya mpira huwa hakuangaliwi ball position bali ushindi tu.

Unakumbuka ile mechi Barca anatolewa na Intermillan, ni timu ipi ilistahili kutolewa kati ya Barca na Intermillan?

Yes Barca chini ya Rijkaard hata mimi binafsi niliipenda sana.
Hilo suala la walichafanyiwa akina Etoo, Gaucho, Yaya na hata leo hii Dembele linajulikana mkuu. Wa kuwashika uchawi kwa huo ubaguzi ni Pep na Messi. Najua nitatukanwa sana hapa lakini ushahidi upo
 
Hahaha city ana tutaji tuwili tu. Kuna mdau hapo juu kafafanua vizuri duh nisije maliza MB kisa ubishi ndani ya uzi huu
Man City umempunja 😂 bhana

Here the teams with more La liga titles since 1992
Barcelona 13
Real Madrid 8
Atletico Madrid 2
Valencia 2


Sijaona tofauti hapo. Pia humo kuna watu kama Leicester city washajitokeza Mbona kina Deportivo De La Coruna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom