SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Porn ina viewers wengi pia kwahyo ni the best thing et ee?
So is Netflix!!
We are discussing soccer here and not porn
Porn ina viewers wengi pia kwahyo ni the best thing et ee?
Sasa hiyo ndiyo league yenye ushindani mkuu na ndiyo maana team zake zinaleta ushindani wa hali ya juu ulaya
Tuombe Spurs amfume Ajax-nadhani Barca tatizo let ni Ajax na sio Liverpool. Having watched Ajax in this tournament-hawa ni hatari kwa ndoto zetu
Haijawahi kutokea,labda Kama Ni za mtaani kwenu.kabla hujapost jiridhishe kimaarifaVillareal na Liverkondoo walikutana final europa ligi, Villa akachukua cup.
Hiyo fainali Villareal alishinda ngapi mkuuVillareal na Liverkondoo walikutana final europa ligi, Villa akachukua cup.
Haijawahi kutokea,labda Kama Ni za mtaani kwenu.kabla hujapost jiridhishe kimaarifa
Okay, ni Sevilla na sio VillarealSemi final
View attachment 1083650
Final
View attachment 1083651
Hiyo ndio mnaiita ligi bora, waendelee kuuza sura tu...
Tokea ulivyokosea taarifa yako lkn uliandika kishabiki nilijua ewew nitu wa aina gani...so sibishani naweOkay, ni Sevilla na sio VillarealSemi final
View attachment 1083650
Final
View attachment 1083651
Hiyo ndio mnaiita ligi bora, waendelee kuuza sura tu...ubingwa watausikia redioni
Timu za Laliga Ndo zimechukua Mara nyingi UCLSasa kama ligi bora ni La Liga kwa kigezo hicho basi kila mwaka bingwa wa UCL na Europa angetoka Spain toka mashindano haya yalipoanza miaka ya 1960s
I suspect umeanza kufuatilia soka majuzi tu
Kweli, madogo wanatisha na wanafighting spirit to the last drop of their bloodTuombe Spurs amfume Ajax-nadhani Barca tatizo let ni Ajax na sio Liverpool. Having watched Ajax in this tournament-hawa ni hatari kwa ndoto zetu
Sevilla mkuu banega aliwatesa mnoHaijawahi kutokea,labda Kama Ni za mtaani kwenu.kabla hujapost jiridhishe kimaarifa
Timu ya pili ni ipi?Congrats barca.
La liga
Ligi ya timu mbili
Timu ya pili ni ipi?
EPL ni ligi ya timu ngapi?Unauliza jibu. Real madrid
EPL ni ligi ya timu ngapi?
Numbisa umbe unashabikia butua butua!!, hata ndondo cup mshindi hajulikani.Jibu hili hapa. Hadi saiv EPL bingwa hajajulikana,top four kivumbi kitupuView attachment 1083831 next season bingwa hajulikani
Ila La liga mambo yameshaisha zamaaniView attachment 1083832 na next season bingwa kama sio barca basi ni R madrid
Tokea ulivyokosea taarifa yako lkn uliandika kishabiki nilijua ewew nitu wa aina gani...so sibishani nawe