Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Nikweli lazima ashtue misuli kimtindo tena akitupa goli itakua njema zaidiSpecial mission.. Bt sec half anabidi aingie wasimvurugie rhythm yake.
Bt Valverde hii season yuko carefully sanaaa...
Nikweli lazima ashtue misuli kimtindo tena akitupa goli itakua njema zaidiSpecial mission.. Bt sec half anabidi aingie wasimvurugie rhythm yake.
Bt Valverde hii season yuko carefully sanaaa...
Messi angekuwa EPL timu kama Man city ya sasa au Spurs ndo timu ambazo zingemfaa sana..I’m not sure. Ni ligi mbili tofauti.
Ni sawa na kuna watu wanauliza: Je Messi angecheza EPL angengara kama sasa alivyo Barca? I don’t know the ultimate answer.
Kama nilivyosema mwanzo Ter Stangen yuko vizuri sana kasoro footwork
Lakini footwork ya Ederson is unbelievable!
Mkuu bado hatujatangaza ubingwa tu..!!
Footwork kama unamaanisha distribution akiwa na mpira Ter Stergen is second to none its only kwamba somehow Velverde na safety first approach yake ameibana tiki taka kwa kuweka limitations za playing from the back.
Tutatisha sana hii itatoa khari ya kutosha kweny squad kupambana dhid ya Liverpool..Kamanda wangu @Ollachuga, baada ya dakika 90 tuinue mikono juuuuuuuuuuuuuu na![]()
Amejifunza aezi fanya makosa ya msimu ulopita..Special mission.. Bt sec half anabidi aingie wasimvurugie rhythm yake.
Bt Valverde hii season yuko carefully sanaaa...
I fell in love with Barca tokana na mpira ulivyokuwa unaanza toka kwa keeper- Velverde ndio amebadilisha hii kitu.Ederson nilmuona kwenye match na Spurs-1 or 2 goals he was to blamePrecisely my point! Distribution. Yupo ok lakini distribution ya Ederson ukiangalia na assist zilizozaa goals hana mpinzani
Bado hawajanyanyua kwapa...Tutatisha sana hii itatoa khari ya kutosha kweny squad kupambana dhid ya Liverpool..
Hivi Ndembele, Arthur ...washanyanyua Laliga kweli?

I fell in love with Barca tokana na mpira ulivyokuwa unaanza toka kwa keeper- Velverde ndio amebadilisha hii kitu.Ederson nilmuona kwenye match na Spurs-1 or 2 goals he was to blame
Nikweli Mkuu they are all good on it ila ukisema uwalinganishe Ederson yupo vizuri zaidiPrecisely my point! Distribution. Yupo ok lakini distribution ya Ederson ukiangalia na assist zilizozaa goals hana mpinzani
Nikweli lazima ashtue misuli kimtindo tena akitupa goli itakua njema zaidi
Hakika pia yule mtoto Mbappe ana kasi sana sasa ataleta dharauTunataka kiatu chetu pia au vipi
Hakika pia yule mtoto Mbappe ana kasi sana sasa ataleta dharau
yaan Sterling, aguero, salah , mane, aubameyang wang'are halaf King Messi asing'are hivi huwa mnatumia mantiki gani aisee?
hapo tu amekutana mara chache na team big 6 amezifunga goal 24
kwa miaka 10 wakat Aguero kwa kipind chote hicho hicho amezifunga mara 43
sasa imagine anakutana nao kila leo ingekuwaje?
Tutatisha sana hii itatoa khari ya kutosha kweny squad kupambana dhid ya Liverpool..
Hivi Ndembele, Arthur ...washanyanyua Laliga kweli?
Jaribu kuangalia mechi zake zote utamkubali. Likewise I am a big fan of jogo bonito na jinsi kipa anapptoa pasi/distribution na ikawa kama assist ya magoli
Ndio maana hadi leo my favorite goal keeper of all time ni Jose Luis Chilavert who at some point alikuwa akiongoza kwa kufunga magoli kwenye ligi ya Argentina
Tupe update mkuu, wengine bado tupo kwenye mishe misheGame tumeianza vizuri sana
Mtoto yake nepi, sema napenda sana jinsi anashine mana kamficha kabisa ndugu yetu NeymarMtoto hana adabu kabisa.. Na timu inampush sana.. Ila watakaa
Bado hawajanyanyua kwapa...
Halafu timu yetu hatuna mchezaji ndembele baba![]()





