FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ukimpoteza Dembele leo ni ngumu kumpata tena, ndiyo maana barca wana pay attention sana kuhusu Dembele,

Pale mbele mrithi wa mguu wa messi ni yule, bado hakuna nafasi ya kulia wala kati kurithi.
 
Inawezekana..

Maana nionapo hizi tetesi za kumtoa malcom na coutinho roho inauma kweli.

Baada ya Messi tunauwezo wa kudominate soka kwa miaka 10+ mingine.. Ukiongeza na akina puig wanaktrain na wakubwa kila sikututatikisa sana.
Barca wana mikakati ya kuachana na Messi bila timu kupata madhara, ndiyo maana Demboz anawekwa benchi bila hata sababu za msingi, akiugua kidogo benchi mpaka apone, the same thing tu Ronaldinho na messi.

Mpango uliopo ni kutawala soka la dunia,huwezi tawala soka la dunia kama hauna talented players. Dembele is among of them kwa sasa.

Kuna wachezaji barca hawatauzwa kamwe ingawa wanaonekana kama wajinga au wazembe vile.

Mfano:
Coutinhi
Dembele
Arthuur
Umtiti
Alena
Tidibo
*Malcom nampa nyota coz barca wanasaka central attackers so anaweza kuwa sucrifice ya deal hilo.

Hawa watu wameletw kuunda barca mpya
 
Wasije wakamfanyia mbaya king Arturo, maana huu msimu kutusaidia sana kupatuliza pale kati.
Ukimpoteza Dembele leo ni ngumu kumpata tena, ndiyo maana barca wana pay attention sana kuhusu Dembele,

Pale mbele mrithi wa mguu wa messi ni yule, bado hakuna nafasi ya kulia wala kati kurithi.
 
Neymar (ex-Barcelona): "I left Barcelona because I wanted a new challenge, the challenge of winning and looking for something new, to find new difficulties, Barça is a club that has always fascinated me, and I still love the club today." [fox sports via sport] https://t.co/6I2IDOMwoO
 
IMG-20190426-WA0016.jpeg
 
Uliwakusikia striker bora duniani akawa muingereza? Barca hawaitaji striker bali wanataka striker bora duniani. Sasa huyo dogo anaweza linganishwa na thamani ya Coutinho?

Coutinho yupo barca kwa mipango maalumu na sasa kazi yake bado haijaanza unadhani barca matahira wamuuze Coutinho?

At some point, Gary Lineker, the top scorer of Mexico86 was the top striker in the world. And guess which team he played for in Spain?
 
If Barcelona beat Levante this weekend, Arturo Vidal will win his 8th consecutive league title.

Juventus 2011-15
Bayern Munich 2015-18
Barcelona 2018-19

Unbelievable.

Juventus are the Serie A champions by default.
Bayern Munchen are the Bundesliga champions by default.
PSG are Ligue 1 champions by default.
Celtics are the Scottish Premier League champions by default.
 
Neymar (ex-Barcelona): "I left Barcelona because I wanted a new challenge, the challenge of winning and looking for something new, to find new difficulties, Barça is a club that has always fascinated me, and I still love the club today." [fox sports via sport] https://t.co/6I2IDOMwoO

Kwa hiyo akaona PSG ndio kuna challenge. Kama kweli alitaka challenge angeenda EPL
 
Uliwakusikia striker bora duniani akawa muingereza? Barca hawaitaji striker bali wanataka striker bora duniani. Sasa huyo dogo anaweza linganishwa na thamani ya Coutinho?

Coutinho yupo barca kwa mipango maalumu na sasa kazi yake bado haijaanza unadhani barca matahira wamuuze Coutinho?

Umeanza kuangalia mpira lini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom