Humorous Junior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 1,599
- 1,422
Ukimpoteza Dembele leo ni ngumu kumpata tena, ndiyo maana barca wana pay attention sana kuhusu Dembele,
Pale mbele mrithi wa mguu wa messi ni yule, bado hakuna nafasi ya kulia wala kati kurithi.
Pale mbele mrithi wa mguu wa messi ni yule, bado hakuna nafasi ya kulia wala kati kurithi.