Humorous Junior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 1,599
- 1,420
Ukimpoteza Dembele leo ni ngumu kumpata tena, ndiyo maana barca wana pay attention sana kuhusu Dembele,
Pale mbele mrithi wa mguu wa messi ni yule, bado hakuna nafasi ya kulia wala kati kurithi.
Pale mbele mrithi wa mguu wa messi ni yule, bado hakuna nafasi ya kulia wala kati kurithi.
Juventus 2011-15
Bayern Munich 2015-18
Barcelona 2018-19