NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,138
Predicted line-ups
Barcelona: Ter Stegen, Semedo, Pique, Lenglet, Alba, Busquets, Rakitic, Arthur, Messi, Suarez, Coutinho
Nyie jamaa mnipigie Man Utd kama goli 4 bila tu.
Jinsi alivyo mpraise semedo last time, sijui kama atamtoa leo..
Roberto na dembele wakiingia kipindi chapili nadhani wanaweza sana kuipa presha man kwa kasi na mashambulizi yao, japo wengi wanapredict dembele kuanza.. Japo naona atokee njee baada ya kuusoma mchezo hasa pale coutinho atakapoanza kuchoka.
Leo kipigo kinawahusu
Hope tutawapiga kamanda wangu, nami nilitamani mno Dembele aanze..
@Mama Debora mbona ina roho mbaya? Unamwombea Masiah mabaya? Trust me leo United lazima achakazwe.Nachowapendea Man U kwenye mechi za kufa kupona kama hizi wanabadilikaga kabisa.
Wanakuaga na Vibe flani dizain kina Atletico, ngoja tuone!!
Nessi asipotembeza ulimi ardhini leo sijui tu, kwanza naombea apigwe kiwiko cha usoni bahati mbaya atoke nje mapema.
Nachowapendea Man U kwenye mechi za kufa kupona kama hizi wanabadilikaga kabisa.
Wanakuaga na Vibe flani dizain kina Atletico, ngoja tuone!!
Nessi asipotembeza ulimi ardhini leo sijui tu, kwanza naombea apigwe kiwiko cha usoni bahati mbaya atoke nje mapema.
Hope tutawapiga kamanda wangu, nami nilitamani mno Dembele aanze..
Kama nilivo tabiri mkuu.. Dembele na semedo, game changer leo.. Hawata amini
Yeah yeah hawa wapaka poda 40 yao ndio leoHawa Huesca whatever the outcome sio wa kutunyima usingizi--tuna unfinished business Tuesday- English people wanachonga sana