BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,334
- 8,813
Hata kama man u mtaitoa pale spain.....kwa liverpool inabd mjipange zaid. Game ya leo ilibeba tension kubwa sana na limepatikana narrowly goal la kujifunga....yote sawa mana hilo gol limetokana na pressing mliofanya
Nani amehusika na hilo goli??
Pia Liverpoor mwepesi sana....
