FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Alisha sema hawezi m risk huyu kama alivyo fanya na lyon.. Reserved kwa mechi ya pili
Nadhani Ernesto Valverde akimkosa Dembele mara nyingi hutumia 4-4-2 ambao ni defensive system by nature, hasa katika game tough kama hii lakini Kwa sababu game ijayo ana uhakika wa uwepo wa Dembele nadhani atachukua 4-3-3 ili kufunga magoli mengi zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama man u mtaitoa pale spain.....kwa liverpool inabd mjipange zaid. Game ya leo ilibeba tension kubwa sana na limepatikana narrowly goal la kujifunga....yote sawa mana hilo gol limetokana na pressing mliofanya
 
Hivi game plan ya vs liver na Man u inaweza kuwa sawa? Ni timu mbili tofauti zenye wachezaji tofauti so tegemea mipango tofauti
Hata kama man u mtaitoa pale spain.....kwa liverpool inabd mjipange zaid. Game ya leo ilibeba tension kubwa sana na limepatikana narrowly goal la kujifunga....yote sawa mana hilo gol limetokana na pressing mliofanya

Sent Using!! Nokia kitochi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom