FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ok ok kuna haja ya kucheza kwa ku hold mipira ,our opponent in last 20 min is getting stronger na anatukabia juu
Kuna haja ya kuleta plan ya katikati ya dimba
Hii plan ni pamoja na kumfanya Messi acheze sana katikati (I guess however he was dangerous but amepata touches chache za mpira)
vile vile defence isifanye human errors nyingi
 
Let's play our game tunachukua point 3 dimbani kwao
Artulo Vidal inatakiwa aingie mapema sana leo
 
Nyinyi kunguni mkifungwa 3-1 nitafurahi sana. Nawapenda Man U kwa kuwa mume wangu pia anawapenda. ingawa personally mie ni Madrid Fan since niko binti chuo UDSM.

Yaani naombea mpigwe 3-1 nitamvulia chupi mume wangu siku 3 mfululizo nampa mambo tu.

Game ya pili tunatafuta draw tu.
 
Nyinyi kunguni mkifungwa 3-1 nitafurahi sana. Nawapenda Man U kwa kuwa mume wangu pia anawapenda. ingawa personally mie ni Madrid Fan since niko binti chuo UDSM.

Yaani naombea mpigwe 3-1 nitamvulia chupi mume wangu siku 3 mfululizo nampa mambo tu.

Game ya pili tunatafuta draw tu.
Dua la kuku hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_5112.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nyinyi kunguni mkifungwa 3-1 nitafurahi sana. Nawapenda Man U kwa kuwa mume wangu pia anawapenda. ingawa personally mie ni Madrid Fan since niko binti chuo UDSM.

Yaani naombea mpigwe 3-1 nitamvulia chupi mume wangu siku 3 mfululizo nampa mambo tu.

Game ya pili tunatafuta draw tu.
Kwekwekwe🤣🤣🤣 job true true mvulie tu fair play lakini kusubiri manyumbu washinde Leo ni sawa na kudeki bahari.
 
Nyinyi kunguni mkifungwa 3-1 nitafurahi sana. Nawapenda Man U kwa kuwa mume wangu pia anawapenda. ingawa personally mie ni Madrid Fan since niko binti chuo UDSM.

Yaani naombea mpigwe 3-1 nitamvulia chupi mume wangu siku 3 mfululizo nampa mambo tu.

Game ya pili tunatafuta draw tu.
Unaacha kulala uchi na mumeo unatambika barca kufungwa..hahaha wewe na mumeo wote hamna akili hahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom