FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

20190409_093612.jpeg
 
Shida ya wabongo nd hii...mpira hauzungumzwi mdomon....dakika 90 unapata matokeo sahihi...sasa nyie mnajipa ushindi wakat mech haijapigwa


Baada ya kocha wa Man u kuulizwa vipi umeonaje game au umejifunza nini baada ya game ya Barcelona na Atletico de Madrid kumalizika? Majibu yake "Kwakweli Messi atabaki kuwa juu tena juuu kileleni 😀😀😀 pia bila kusahau juu tena juuu mawinguni" 😀😀😀


Messi atawanyoosha mtake msitake
 
Hii Robo fainali iishe tu tujue moja mana maneno ni mengi mno
Baada ya kocha wa Man u kuulizwa vipi umeonaje game au umejifunza nini baada ya game ya Barcelona na Atletico de Madrid kumalizika? Majibu yake "Kwakweli Messi atabaki kuwa juu tena juuu kileleni pia bila kusahau juu tena juuu mawinguni"


Messi atawanyoosha mtake msitake
 
Messi akishindwa kuamua ushindi wetu basi smalling will.
Baada ya kocha wa Man u kuulizwa vipi umeonaje game au umejifunza nini baada ya game ya Barcelona na Atletico de Madrid kumalizika? Majibu yake "Kwakweli Messi atabaki kuwa juu tena juuu kileleni pia bila kusahau juu tena juuu mawinguni"


Messi atawanyoosha mtake msitake
Hii Robo fainali iishe tu tujue moja mana maneno ni mengi mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom