FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

In short sisi ndio mabingwa tena wa Laliga 2018-19
Ndani ya miaka 13 tunachukua Mara 11

Hii ndio siri ya mchezo wa Leo,yaani kushinda ilikua lazima so .....TUNA FOCUS UEFA be scared be scared man U ....gani chupi za chuma...kama unabisha muulize Jan Oblack Leo...watu wamepitisha pale pale lanapopovuja jasho
 
Hawa jamaa ni wasenge, De Madrid wapo pungufu na bado wanashindwa kuwafunga aisee hii mitimu mingine inatia hasiraa!
Boya ni yule ambaye tulimlowanisha Mara mbili mfululizo ndani ya week moja tena ground ya nyumbani kwao
 
  • Thanks
Reactions: K M
Em jamani tu wakweli huyu jamaa his boots got classy, regardless kwamba yupo out of form lkn anachofanya ni hatari mnoo, maana kwa wafunvaji bora laliga nadhani anashika nafasi ya pili sasa..

Ni nani anaweza kuja kumweka benchk jamaa...

Suarez ana deliver hata kama imebaki sekunde 3, wote mashahidi mechi na manyambizi ya njano..

Leo tena kaweza kutekenya ile kufuri imara ya AtM..

FORM IS TEMPORARY BT CLASSY IS PERMANENT
IMG_20190406_234058.jpeg
 
In short sisi ndio mabingwa tena wa Laliga 2018-19
Ndani ya miaka 13 tunachukua Mara 11

Hii ndio siri ya mchezo wa Leo,yaani kushinda ilikua lazima so .....TUNA FOCUS UEFA be scared be scared man U ....gani chupi za chuma...kama unabisha muulize Jan Oblack Leo...watu wamepitisha pale pale lanapopovuja jasho

Hahahaaaaa
 
wakati mwengine utasema huyu suarez kuna haja gani ya kumaliza dk 90 lakini mwisho wa gem ndio unashindwa kumsema kwa ubaya
Bila kupiga lile goals nilishaandaa matusi ndoo mbili
Lakin namvutia muda tu, somtyms anazingua sana japo ni mpambanaji

Kingine Suarez ni moja kati ya best friend wa messi, mtoto wa boss nae boss

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom