- kANA -
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 4,088
- 10,552
With Lukaku upfront?Ole Ole Barcadogs watch out Ole is coming for your heads
Come on man, una kisu alafu unamtishia mwenye bastola!
- KANA -
With Lukaku upfront?Ole Ole Barcadogs watch out Ole is coming for your heads
Ole Ole Barcadogs watch out Ole is coming for your heads
Barcelona ingekuwa bora si ingevunja rekodi ya Ac milam makonbe 7 au madrid miaka yate inatolewa na timu level za manchester united tu labda mjifariji hivyo hivyo tumeona roma mwaka jana kampa chuma 4Huko waliko matumbo yanawaka moto kwa hofu![]()
Hapo jones hatocheza. Hana namba sikuiz . Nafasi anapiga lindelof ambae ni dynamic zaid ya jones
Tunaona UEFA letu jamani tupatieni
Juventus hawa ndio vibonde kabisa Man city atajipigia kirahisi
Kuna mashabiki aina 3 wanatusumbua sana humu jf,yani kelele nyingi utafikiri wamefika FINAL bwana,
1-Man u
2-Liverpua
3-Juventus, vile vigoli vitatu vya mviziaji vinawapa matumaini ya kubeba UEFA eti![]()
Mkuu City kwenye mashindano haya bado wa changa sana wanaweza tolewa any timeTim ambayo naipa nafasi kubwa ya kukutana na Barca in the final ni City....wengine wakafie mbele....
Kupata vichekesho vingine kama hiki, andika neno LUKAKU kwenda namba 277337.Hapa kinachonisumbua tu kichwa ni namna gani klopp kama ataweza kumtoa porto atakavoweza kukipanga kikosi chake dhid ya chama kubwa Utd kwenye sem-final. Nawapa home work barca waende ufaransa waulize alipopita utd alifanya nini??? Then wayafanyie kazi watakachoambiwa huko!! Watanishukuru badae ingawaje bado haitozuia chochote kwa wao kutokufungiwa virago pale pale camp nou
Sent using Jamii Forums mobile app






