FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

1552544842772.png



🏆 The draw for the ChampionsLeague Quarter-Final will take place on Friday at 11am GMT.

🌎 There is no seeding or country protection, with any restrictions to be announced.

🏟 The semi-final draw will also take place, meaning teams will know potential paths to the final.
 
Kijana kajitahidi.. Ameshangilia kwa passion sana.. View attachment 1045156

Sent using Unknown device

Hahaa knakosea sana kusema "kijana kajitahidi" siku zote Messi ndiye injini/nguzo ya Barca hili halina ubishi kamanda wangu...ingawa na wengine wanascore lakini kwa msaada zaidi wa hiki kiumbe kuwahi kutokea katika soka....Kahusika na magoli yote ma4... 2 goals 2 assists, and man of the match kama kawaida yake....
 

Hahaa knakosea sana kusema "kijana kajitahidi" siku zote Messi ndiye injini/nguzo ya Barca hili halina ubishi kamanda wangu...ingawa na wengine wanascore lakini kwa msaada zaidi wa hiki kiumbe kuwahi kutokea katika soka....Kahusika na magoli yote ma4... 2 goals 2 assists, and man of the match kama kawaida yake....
Nadhani alikua anamaanisha coutihno, kijana alikua anahitaji goal kwakweli ita boost confidence yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gazette za Spain zasema'Messi for his second goal faked two Lyon defenders OUT of the stadia before before putting the ball to rest inside the net'
 
Aaah mkuu siwezi ku underestimate uwezo wa king katu hata siku moja... nilicho maanisha ni kijana bwa mdogo alie shikwa na king hapo.. Kajitahidi

Hahaa knakosea sana kusema "kijana kajitahidi" siku zote Messi ndiye injini/nguzo ya Barca hili halina ubishi kamanda wangu...ingawa na wengine wanascore lakini kwa msaada zaidi wa hiki kiumbe kuwahi kutokea katika soka....Kahusika na magoli yote ma4... 2 goals 2 assists, and man of the match kama kawaida yake....

Sent using Unknown device
 
Kwa hao waliobaki namhofia liverpool pekee. Wako very efficient kwenye aerial balls ambako ndiko weakness kubwa ya Barca ilipo.

Hao wengine sioni shida kabisa!

- KANA -


Aerial Balls hata Juve ni threat, maana wana CR7 na Mandzukic, kama tulivyoona juzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom