FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hapa kinachonisumbua tu kichwa ni namna gani klopp kama ataweza kumtoa porto atakavoweza kukipanga kikosi chake dhid ya chama kubwa Utd kwenye sem-final. Nawapa home work barca waende ufaransa waulize alipopita utd alifanya nini??? Then wayafanyie kazi watakachoambiwa huko!! Watanishukuru badae ingawaje bado haitozuia chochote kwa wao kutokufungiwa virago pale pale camp nou

Sent using Jamii Forums mobile app

Klop wamempa tim laini sana kamanda wangu,

Kuhusu Man u, mtapigwa kote kote IN and OUT, hili halina ubishi....tena nitaifufua comment yako pls usiidelete tu!!!
 
Uzuri wa mpila unachezwa uwanjani dakika tisini na siyo mdomoni au kwenye keyboards.
Kama ingekuwa matokea yanapangwa kwa matakwa ya mashabiki wa timu Fulani basi hakuna timu ingefungwa duniani.maana mashabiki siku zote wanataka timu yao ishinde ..so hata nyinyi mashabiki wa humu ni hali yenu kusema Barca atapita maana hamuwezi kusema kinyume.
Ila hiyo mechi si rahisi kama m unavyodhani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Al assad, Mpila=Mpira
 
Tim ambayo naipa nafasi kubwa ya kukutana na Barca in the final ni City....wengine wakafie mbele....
Umejuaje? Maana kila mtu anasema juve atakutana na city. Yaani tayari nusu fainali inajulikana. Na wewe kumbe unajua mpaka final, wewe ndie unaejua mpira
 
Hapa kinachonisumbua tu kichwa ni namna gani klopp kama ataweza kumtoa porto atakavoweza kukipanga kikosi chake dhid ya chama kubwa Utd kwenye sem-final. Nawapa home work barca waende ufaransa waulize alipopita utd alifanya nini??? Then wayafanyie kazi watakachoambiwa huko!! Watanishukuru badae ingawaje bado haitozuia chochote kwa wao kutokufungiwa virago pale pale camp nou

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila team ilitamani sana wapangiwe eiza manu ama porto.
 
Klop wamempa tim laini sana kamanda wangu,

Kuhusu Man u, mtapigwa kote kote IN and OUT, hili halina ubishi....tena nitaifufua comment yako pls usiidelete tu!!!
Ndo hicho nilichokuwa namaanisha.
Man U na Porto ndio the weakiest clup kwenye hii last 8. Yaani kila timu zilitamani sana zipangiwe hao. Baati nzuri ikaangukia kwa liver na barca.
 
Jamaa aliamua acheke tuu maana he can't stop king messi
IMG-20190315-WA0039.jpeg


Sent using Unknown device
 
Hapa kinachonisumbua tu kichwa ni namna gani klopp kama ataweza kumtoa porto atakavoweza kukipanga kikosi chake dhid ya chama kubwa Utd kwenye sem-final. Nawapa home work barca waende ufaransa waulize alipopita utd alifanya nini??? Then wayafanyie kazi watakachoambiwa huko!! Watanishukuru badae ingawaje bado haitozuia chochote kwa wao kutokufungiwa virago pale pale camp nou

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu keep your expectations low, and enjoy the game,
Hawa barca sio mchezo.

Sent using simu mbovu
 
Uzuri wa mpila unachezwa uwanjani dakika tisini na siyo mdomoni au kwenye keyboards.
Kama ingekuwa matokea yanapangwa kwa matakwa ya mashabiki wa timu Fulani basi hakuna timu ingefungwa duniani.maana mashabiki siku zote wanataka timu yao ishinde ..so hata nyinyi mashabiki wa humu ni hali yenu kusema Barca atapita maana hamuwezi kusema kinyume.
Ila hiyo mechi si rahisi kama m unavyodhani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani ana mpira wa mdomoni sio nyie manure.. nyie kila gemu kwa kuobgea huwa mnashinda ...kwa jinsi mnavyoichukia barca ndo mtazidi kuichukia zaidi ..

Uefa wana roho ngumu sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom