FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kwa mtu ambaye anachunguza mpira kiundani kabisa Messi hua anafunga magoli machache sana ,ila anapasia kwenye nyavu magoli mengi sana (kama umenielewa basi unaelewa namaanisha nini)

Simply magoli ya Messi akili ni nyingi sana nguvu inatumika kwa mbali.....refer goli la pili ambalo jackline 1 anakuambia mabeki walijamba na kupiga chafya in one direction(something impossible ) alimalizia kufunga kwa shoot dhaifu.....ambalo golikipa hawezi kunyaka na mpira anauona huu hapa unampita
 
Kwa mtu ambaye anachunguza mpira kiundani kabisa Messi hua anafunga magoli machache sana ,ila anapasia kwenye nyavu magoli mengi sana (kama umenielewa basi unaelewa namaanisha nini)

Simply magoli ya Messi akili ni nyingi sana nguvu inatumika kwa mbali.....refer goli la pili ambalo jackline 1 anakuambia mabeki walijamba na kupiga chafya in one direction(something impossible ) alimalizia kufunga kwa shoot dhaifu.....ambalo golikipa hawezi kunyaka na mpira anauona huu hapa unampita


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Tofauti ya King Messi na Ronaldo ni hii, Ronaldo ni mfungaji tu mzuri lakini Messi anascore, ana assist, kiungo mchezeshaji (playmaker), passes ndefu na fupi, mkokotaji wa mpira/kijiji, (dribbler), Skills na pia anaweza kucheza wing back 3 yule jamaa wa madeira hawezi hivyo ndio maana tunasema Messi ni bora kuwahi kutokea duniani.... na ndiomaana moja ya interview ya ronaldo alisema akipata bahati ya kucheza timu moja na Messi atafunga sana, anamjuwa King Messi mzee wa kusherehesha 😀😀😀😀


Mungu aendelee kumpa afya njema!
 
The G.O.A.T
53584729_2085080244879503_3486415036530819072_o.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverpool ni size yetu,hawapark bus na kuvizia counter attack-hizi team zinazocheza defensive game hazifai
 
Hamna team dhaifu kama Liverpool nilikua nafanya homework ya team zilizobakia ngumu ni man city peke yake whether you like or not guys

Liverpool hata alivyoshinda juzi ni kua tu Beyern Munichen were not luck walipata chances nyingi sana hawakuzitumia na wao ndio waliocheza mpira mkubwa trust me
Kingine beki yao ni dhaifu inaruhusu sana crosses ,kitu ambacho ni hatari sana kwao,kibaya zaidi hua wanafunguka wanapocheza ,Barcelona style hua inaipenda sana hii style

Juventus -hawa ni dhaifu sana,hamna uchezaji wa ki team ,wako so pressable

Man U -hawa hata wakitajwa tu na sisi wanajua tayari wameshaondoka

Huu mwaka ni wetu narudia tena na tena UEFA linakuja Camp Nou
Nimefanya homework zangu ipasavyo ,the door is very open Barcelona kuchukua ubingwa
 
Hamna team dhaifu kama Liverpool nilikua nafanya homework ya team zilizobakia ngumu ni man city peke yake whether you like or not guys

Liverpool hata alivyoshinda juzi ni kua tu Beyern Munichen were not luck walipata chances nyingi sana hawakuzitumia na wao ndio waliocheza mpira mkubwa trust me
Kingine beki yao ni dhaifu inaruhusu sana crosses ,kitu ambacho ni hatari sana kwao,kibaya zaidi hua wanafunguka wanapocheza ,Barcelona style hua inaipenda sana hii style

Juventus -hawa ni dhaifu sana,hamna uchezaji wa ki team ,wako so pressable

Man U -hawa hata wakitajwa tu na sisi wanajua tayari wameshaondoka

Huu mwaka ni wetu narudia tena na tena UEFA linakuja Camp Nou
Nimefanya homework zangu ipasavyo ,the door is very open Barcelona kuchukua ubingwa

Pale ni city tu iliyobakia ngumu, wengine hamna kitu.
 
Hamna team dhaifu kama Liverpool nilikua nafanya homework ya team zilizobakia ngumu ni man city peke yake whether you like or not guys

Liverpool hata alivyoshinda juzi ni kua tu Beyern Munichen were not luck walipata chances nyingi sana hawakuzitumia na wao ndio waliocheza mpira mkubwa trust me
Kingine beki yao ni dhaifu inaruhusu sana crosses ,kitu ambacho ni hatari sana kwao,kibaya zaidi hua wanafunguka wanapocheza ,Barcelona style hua inaipenda sana hii style

Juventus -hawa ni dhaifu sana,hamna uchezaji wa ki team ,wako so pressable

Man U -hawa hata wakitajwa tu na sisi wanajua tayari wameshaondoka

Huu mwaka ni wetu narudia tena na tena UEFA linakuja Camp Nou
Nimefanya homework zangu ipasavyo ,the door is very open Barcelona kuchukua ubingwa
Raia wamaanza gossip wanadai hii imevuja
IMG-20190315-WA0003.jpeg


Sent using Unknown device
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom