Kabla busquet hajastaafu sahau kuwa Kuna kiungo mkabaji atamuweka benchi ata aje yesu atapigwa benchi tu na hyo machineDembouz kwa spid anatisha plus semedo ila bado viungo wakabaji, De jong anaanza kucheza lini?
Alafu watatokea watu wamevuta bange wanakwambia Degea ni boraNdio man of the match ya jana ,ametuokoa sana especially first half kama kawaida yake bingwa wa save
De gea habari nyingine wewe!! Pamoja na beki mbovu lkn anajitahidi kuziba pengo laoAlafu watatokea watu wamevuta bange wanakwambia Degea ni bora
mfumo wa Barca na Man City De Gea hawezi cheza sababu hawezi ku dribble mpiraDe gea habari nyingine wewe!! Pamoja na beki mbovu lkn anajitahidi kuziba pengo lao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jana naona ilikua siku bora kabisa
Le Mundo gazette limeandika-El classico ya saturday S Roberts asikae mbele ya Semedo cause anamuacha exposed-Dembele anaanza kuziba pengo la Neymar na kwa speed aliyonayo aruhusiwe free role btw the wings- Gazette linaamini Real M will never get another chance.cause probability of Messi having another low key game is nil
King Leo baadhi ya game anakuwa kama kapumzika hivi uwanjani
Inshaallah....Sawa mkuu hata madrid waliambiwa ni 1 man team wakabisha.... Leo hii unaona timu inavyosuasua kupata magoli!!! Na ww ngoja messi aondoke mtaelewa nachosema. Time will tell na hii post ntaifufua tu hata iwe 2025 inshallah tujaliwe uhai.
Habari njema hizi maana kuna wakati jamaa alikua analalamika kua hajui hatima yake pale BarcaHabari zilizonifikia hivi punde, jordi alba ameongezewa mkataba.
Visca el barca
Madrid wanamtegemea mtoto mdogo V. Jr kuibeba timu kubwa huo ni ujingaDaah ilikuwa siku powa sana Burudani nyingine weekend hapo Madrid wako weak sana kwa Barca sijui kwanini
Aliamua kuendelea kuweka rekodi yake kwa makusudi, ile penati ilikua yeye akampa Luis...
Subiri weekend uone moto
Habari njema hizi maana kuna wakati jamaa alikua analalamika kua hajui hatima yake pale Barca
Sawa mkuu hata madrid waliambiwa ni 1 man team wakabisha.... Leo hii unaona timu inavyosuasua kupata magoli!!! Na ww ngoja messi aondoke mtaelewa nachosema. Time will tell na hii post ntaifufua tu hata iwe 2025 inshallah tujaliwe uhai.
Mkuu sio emotional ni rational kabisa tena kwa takwimu winning percentage ya mechi ambazo messi amecheza ni kubwa kuliko ambazo hajacheza (70%)
NB: utoe mechi za copa del rey
Sasa unabishana na takwimu mkuu?? Hata magoli wanafunga average ya magoli mpaka 3 messi akiwemo ila asipokuwepo ni chini ya hapo...... Sasa kwa takwimu tu ukimtoa messi kwenye equation ya barca basi leo hii mngekuwa mko nafasi ya 4 la liga!! Sio mimi ni takwimu
Pitia hapa kidogo usome analysis ya credible sportswriter
How do Barcelona do when made to live without Lionel Messi?
hii wiki madrid hapumui hadi huku tunamshughulikiaView attachment 1035633
Sent using Jamii Forums mobile app



yaani hatumpi ata bahati mbaya