Mkuu, Neymar namba nyingine, misimu yake ya mwisho pale Camp Nou mpira ulimkubali mno.Kwangu mimi Dembele iz better than neimar...neimar utoto mwingi na kujiangusha, dembele anachokosea kitu kimoja tu pale mbele, chenga nyingi hatoi pasi hadi ananyang'anywa mpira...
Mfano sasa hivi tukawa na watu watatu mbele, Dembele kulia, Messi kati na Neymar kushoto, hii ni hatari kwa timu pinzani.
Suarez tuanze kutafuta mbadala wake.
