FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hawa Madrid naona wanaishi kwa nguvu ya VAR-sielewi tulitoka nao draw vipi? i dont see them avoiding the sword this time
 
Barca was sh**t bila nguvu binafsi Barca ingekuwa imelala 2-0. Tukubali individual capacity ina nafasi yake kwenye timu ndio maana kuna wachezaji huwa ni super sub kama kina Vitolo,Cutrone,pulisic n.k maana timu zinahitaji nguvi binafsi za hao watu ili ipate ushindi.
The individual capacity of eleven players is what makes a team!

However, the quality and level of the so called "individual capacity" vary from one player to another.

Kuna siku Dembele anatuokoa, kuna siku Suarez anatuokoa and so on. Hakuna hoja ya kumtenganisha Messi na Barcelona. He's part of the team, he's just more gifted than other players!



- KANA -
 
Barca was sh**t bila nguvu binafsi Barca ingekuwa imelala 2-0. Tukubali individual capacity ina nafasi yake kwenye timu ndio maana kuna wachezaji huwa ni super sub kama kina Vitolo,Cutrone,pulisic n.k maana timu zinahitaji nguvi binafsi za hao watu ili ipate ushindi.
Nikisema sub ndo zilipelekea Barça kubadilika utakataa?

Nikisema Alena, Dembele na Roberto ndo walileta mabadiliko utakataa?

Mpira team work

Messi kwa nafasi yake alitimiza wajibu, haina maana kusema asinge kuwepo hii statement ya kusahau mchango wa wengne as a team

Unapaswa kujiuliza why HT Barça iliharibu?

Vidal, Semedo na Coutinho walipwaya pia Umtiti hakuwa kwenye form (ametoka majeruhi alijutahidi)

Mabadiliko ya Barça ni Sub zilizofanywa

Messi kabla ya sub mipira yake mingi ilikuwa inapotea HT Accuracy pass alikuwa na 56%

Tukumbuke goal la kwanza kufungwa Barça kosa lilianzia kwa Messi


Kwa hiyo ni lazma tukubali Sub ndizo zilipekea Barça kubadilika na kushinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The individual capacity of eleven players is what makes a team!

However, the quality and level of the so called "individual capacity" vary from one player to another.

Kuna siku Dembele anatuokoa, kuna siku Suarez anatuokoa and so on. Hakuna hoja ya kumtenganisha Messi na Barcelona. He's part of the team, he's just more gifted than other players!



- KANA -
Let's agree here bruh.... Individual capacity as far as barca is concerned no one matches Messi.... It's almost a one man team. Imagine if messi wasnt around who would step up??

Barca= Messi na Messi=Barca, the rest of the team is utter nonsense eti coutinho,dembele cjui alena.... My foot.

Hakuna anayemkaribia messi ngoja akistaafu mtabaki mnahaha kma Madrid maana sio kwa kumtegemea huko
 
Nikisema sub ndo zilipelekea Barça kubadilika utakataa?

Nikisema Alena, Dembele na Roberto ndo walileta mabadiliko utakataa?

Mpira team work

Messi kwa nafasi yake alitimiza wajibu, haina maana kusema asinge kuwepo hii statement ya kusahau mchango wa wengne as a team

Unapaswa kujiuliza why HT Barça iliharibu?

Vidal, Semedo na Coutinho walipwaya pia Umtiti hakuwa kwenye form (ametoka majeruhi alijutahidi)

Mabadiliko ya Barça ni Sub zilizofanywa

Messi kabla ya sub mipira yake mingi ilikuwa inapotea HT Accuracy pass alikuwa na 56%

Tukumbuke goal la kwanza kufungwa Barça kosa lilianzia kwa Messi


Kwa hiyo ni lazma tukubali Sub ndizo zilipekea Barça kubadilika na kushinda

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna sub iliyosaidia huoni dembele alipoimgia mlikuwa forwards 4 mbele ila nni kilibadilika hadi mkamtoa coutinho!! Suarze aliflop... Dembele alikosa magoli ya wazi.... Mtu pekee aliyekuwa vzuri ni Messi so hamna kuepuka kuwa barca inamtegemea messi ndio maana alipokuwa out of form mlishindwa kushinda mechi 4 mfululizo.

No messi no barca.... Hata msimu uliopita mechi ya sevilla jamaa aliingia ndio aka-equalise mawili otherwise mlikuwa mmelala tena.... Alafu mnasema teamwork!! Wela data hapa mechi ambazo messi hajacheza Alafu angalia win percentage!!

Barca is sh**t without messi
 
Hakuna sub iliyosaidia huoni dembele alipoimgia mlikuwa forwards 4 mbele ila nni kilibadilika hadi mkamtoa coutinho!! Suarze aliflop... Dembele alikosa magoli ya wazi.... Mtu pekee aliyekuwa vzuri ni Messi so hamna kuepuka kuwa barca inamtegemea messi ndio maana alipokuwa out of form mlishindwa kushinda mechi 4 mfululizo.

No messi no barca.... Hata msimu uliopita mechi ya sevilla jamaa aliingia ndio aka-equalise mawili otherwise mlikuwa mmelala tena.... Alafu mnasema teamwork!! Wela data hapa mechi ambazo messi hajacheza Alafu angalia win percentage!!

Barca is sh**t without messi
In other words una maana with Messi we will win all trophies? What more can one want
 
Let's agree here bruh.... Individual capacity as far as barca is concerned no one matches Messi.... It's almost a one man team. Imagine if messi wasnt around who would step up??

Barca= Messi na Messi=Barca, the rest of the team is utter nonsense eti coutinho,dembele cjui alena.... My foot.

Hakuna anayemkaribia messi ngoja akistaafu mtabaki mnahaha kma Madrid maana sio kwa kumtegemea huko
Every team has a player who steps up when things are not going well.

Kama Hazard kwa Chelsea, Salah kwa Liverpool, Kane kwa Spurs, De gea kwa Man U and so on. Sioni tatizo Messi kuibeba Barcelona tunapohitaji matokeo.

Ukisema Barca is almost a one man team nakushangaa. Ulishawahi kujiuliza Barcelona bila Busquests wanakua vipi? As a matter of fact, magoli ya messi yasingetufikisha popote msimu huu bila miujiza ya McAndre Stergen pale golini.

Suarez hayuko form, ila angalia chart ya top scorers he's second on the list baada ya Messi. Dembele has been damn good so far, and he's growing. Kusema apart from Messi wengine ni upuuzi mtupu unakua unasound more emotional rather than logical.

Messi is undoubtfully the best football player, he's genius, he's exceptional, lakini haifanyi tusahau mchango wa wachezaji wengine kwenye team!

- KANA -
 
Every team has a player who steps up when things are not going well.

Kama Hazard kwa Chelsea, Salah kwa Liverpool, Kane kwa Spurs, De gea kwa Man U and so on. Sioni tatizo Messi kuibeba Barcelona tunapohitaji matokeo.

Ukisema Barca is almost a one man team nakushangaa. Ulishawahi kujiuliza Barcelona bila Busquests wanakua vipi? As a matter of fact, magoli ya messi yasingetufikisha popote msimu huu bila miujiza ya McAndre Stergen pale golini.

Suarez hayuko form, ila angalia chart ya top scorers he's second on the list baada ya Messi. Dembele has been damn good so far, and he's growing. Kusema apart from Messi wengine ni upuuzi mtupu unakua unasound more emotional rather than logical.

Messi is undoubtfully the best football player, he's genius, he's exceptional, lakini haifanyi tusahau mchango wa wachezaji wengine kwenye team!

- KANA -
Mkuu kama umefanya hesabu utakuwa unaikumbuka D'hondt method of allocation...... kitu kinachochangia zaidi ndio kinakuwa allocated slots nyingi zaidi. Same to Barca kwamba licha ya contribution ya timu nzima ni messi ndio amayecontribute zaidi hivyo licha ya udhaifu wa barca kuconcede magoli mawili kizembe ila Messi ndio alikuja kuwaokoa.

Hivyo sikatai wachezaji wengine wana mchango ila mchango wao kwa pamoja haufikii hata robo wa mchango wa messi..... Hivyo tunaweza kufikia hitimisho kuwa barca ni one man team sababu mtu mmoja ana mchango mkubwa kuliko timu nzima kwa mbali sana.
 
Hakuna sub iliyosaidia huoni dembele alipoimgia mlikuwa forwards 4 mbele ila nni kilibadilika hadi mkamtoa coutinho!! Suarze aliflop... Dembele alikosa magoli ya wazi.... Mtu pekee aliyekuwa vzuri ni Messi so hamna kuepuka kuwa barca inamtegemea messi ndio maana alipokuwa out of form mlishindwa kushinda mechi 4 mfululizo.

No messi no barca.... Hata msimu uliopita mechi ya sevilla jamaa aliingia ndio aka-equalise mawili otherwise mlikuwa mmelala tena.... Alafu mnasema teamwork!! Wela data hapa mechi ambazo messi hajacheza Alafu angalia win percentage!!

Barca is sh**t without messi
Mimi ni Barça na Messi damu damu but ukweli uko wazi kuwa Barça ili ilibadilika kwa sababu ya sub

Sina maana nakataa mchango wa Messi ila narecognize michango ya wengne kwa Messi ilivyo kuwa muhimu

Why First HT Barça iliharibu? Au Messi hakuwepo?

Jiulize je Sub zisingefanyika Barça ingeshinda? Jibu Barça isingeshinda na ingepigwa zingne

Alena, Dembele and Roberto walifanya mpira ubadilike

Kabla ya hawa watu Messi alitumia nguvu kubwa kufanya game changes lakini ilishindikana kwa sababu movement alizokuwa anazianzisha zilikuwa zinapotezwa na wenzake na Sevilla walijua ili Barça isiwasumbue ni Kublock mipira ya Messi.. (rudia kuangalia 1HT then linganisha 2HT)...

Sijaona sababu ya Alena kuanzia bench naona kabsa Coutinho kupoteza nafasi





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna sub iliyosaidia huoni dembele alipoimgia mlikuwa forwards 4 mbele ila nni kilibadilika hadi mkamtoa coutinho!! Suarze aliflop... Dembele alikosa magoli ya wazi.... Mtu pekee aliyekuwa vzuri ni Messi so hamna kuepuka kuwa barca inamtegemea messi ndio maana alipokuwa out of form mlishindwa kushinda mechi 4 mfululizo.

No messi no barca.... Hata msimu uliopita mechi ya sevilla jamaa aliingia ndio aka-equalise mawili otherwise mlikuwa mmelala tena.... Alafu mnasema teamwork!! Wela data hapa mechi ambazo messi hajacheza Alafu angalia win percentage!!

Barca is sh**t without messi
Messi hachezi pekee ake uwanjani naona unaongea kibongo



Halafu haka kamsemo et No Messi no Barça kwani Barça imemkuta Messi yaani huwa mnamaanisha mchezaji anaweza akawa mkubwa kuliko team husika?

no Barça no Messi hii ndo imekaa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Every team has a player who steps up when things are not going well.

Kama Hazard kwa Chelsea, Salah kwa Liverpool, Kane kwa Spurs, De gea kwa Man U and so on. Sioni tatizo Messi kuibeba Barcelona tunapohitaji matokeo.

Ukisema Barca is almost a one man team nakushangaa. Ulishawahi kujiuliza Barcelona bila Busquests wanakua vipi? As a matter of fact, magoli ya messi yasingetufikisha popote msimu huu bila miujiza ya McAndre Stergen pale golini.

Suarez hayuko form, ila angalia chart ya top scorers he's second on the list baada ya Messi. Dembele has been damn good so far, and he's growing. Kusema apart from Messi wengine ni upuuzi mtupu unakua unasound more emotional rather than logical.

Messi is undoubtfully the best football player, he's genius, he's exceptional, lakini haifanyi tusahau mchango wa wachezaji wengine kwenye team!

- KANA -
Hapa umeongea kisoka na umechambua with out of ushabiki, kwamba tunaposema matokeo ya team tunamaana ni collective work ya Team nzima....


Mchango wa goalkeeper ni mkubwa sana kwa Barça hasa msimu huu anafanya kazi ya ziada...


Ubora wa Barça huwezi msahau Busquet, Rakitic, lenglet, Arthur, Pique, nk yaani tuwaone hawana mchango tutakuwa tunajidanganya na haitakuwa Barça

Game yenyewe ya juzi kipa kafanya kazi kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama umefanya hesabu utakuwa unaikumbuka D'hondt method of allocation...... kitu kinachochangia zaidi ndio kinakuwa allocated slots nyingi zaidi. Same to Barca kwamba licha ya contribution ya timu nzima ni messi ndio amayecontribute zaidi hivyo licha ya udhaifu wa barca kuconcede magoli mawili kizembe ila Messi ndio alikuja kuwaokoa.

Hivyo sikatai wachezaji wengine wana mchango ila mchango wao kwa pamoja haufikii hata robo wa mchango wa messi..... Hivyo tunaweza kufikia hitimisho kuwa barca ni one man team sababu mtu mmoja ana mchango mkubwa kuliko timu nzima kwa mbali sana.
Mkuu, naamini unatania. Ila kama uko serious kwamba mchango wa team nzima haufikii robo ya mchango wa Messi, basi I rest my case!

I don't prefer emotional conversations over logical ones!



- KANA -
 
Mkuu, naamini unatania. Ila kama uko serious kwamba mchango wa team nzima haufikii robo ya mchango wa Messi, basi I rest my case!

I don't prefer emotional conversations over logical ones!



- KANA -
Mkuu sio emotional ni rational kabisa tena kwa takwimu winning percentage ya mechi ambazo messi amecheza ni kubwa kuliko ambazo hajacheza (70%)

NB: utoe mechi za copa del rey

Sasa unabishana na takwimu mkuu?? Hata magoli wanafunga average ya magoli mpaka 3 messi akiwemo ila asipokuwepo ni chini ya hapo...... Sasa kwa takwimu tu ukimtoa messi kwenye equation ya barca basi leo hii mngekuwa mko nafasi ya 4 la liga!! Sio mimi ni takwimu

Pitia hapa kidogo usome analysis ya credible sportswriter
How do Barcelona do when made to live without Lionel Messi?
 
Hapa umeongea kisoka na umechambua with out of ushabiki, kwamba tunaposema matokeo ya team tunamaana ni collective work ya Team nzima....


Mchango wa goalkeeper ni mkubwa sana kwa Barça hasa msimu huu anafanya kazi ya ziada...


Ubora wa Barça huwezi msahau Busquet, Rakitic, lenglet, Arthur, Pique, nk yaani tuwaone hawana mchango tutakuwa tunajidanganya na haitakuwa Barça

Game yenyewe ya juzi kipa kafanya kazi kubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mnakosea sana hata ukiandika tafiti za kitaaluma huwa level of significance na coefficients zinatofautiana kati ya variables ikimaanisha moja lazima ina mchango mkubwa kuliko yenzake haziwezi lingana zote...... Na hiyo moja ikitolewa kwenye equation utafiti utakuwa na sura tofauti kabisaaaaa

Same to barca hao uliowataja mchango wao unaweza kuwa 40% kwa kila mechi ila messi alone anacontribute zaidi ya 60%.... Let alone uwepo wake tu unasaidia issue za nje ya uwanja kma morale boosting na kuwachezea psychologically timu pinzani kucheza kwa caution sana kisa "messi yupo" so mchango unaweza enda hadi 70%.

Hivyo bottom line ni kweli wanamchango ila hawafikii mchango anaoutoa messi....

Nakuacha na swali.....
If X=Barca and Barca= X.... Find X 😀😛
 
Kuna baadhi ya wadau humu wanashangaza sana, na hawana mda mrefu tangu wajiunge jamiiforrums 😀😀😀...yani wanashabikia barca ila hawamkubali Messi na imefikia hata kusema "hana msaada/mchango katika timu" na kuona wachezaji wengine wana msaada kuliko Messi mwenyewe. Huenda wanashabikia barca lakini mapenzi yao yote hayapo kwa Messi, ingawa wanajuwa kuwa Messi ndie baba wa soka kuwahi kutokea...chuki mbaya sana aise 😀😀😀
 
Mkuu mnakosea sana hata ukiandika tafiti za kitaaluma huwa level of significance na coefficients zinatofautiana kati ya variables ikimaanisha moja lazima ina mchango mkubwa kuliko yenzake haziwezi lingana zote...... Na hiyo moja ikitolewa kwenye equation utafiti utakuwa na sura tofauti kabisaaaaa

Same to barca hao uliowataja mchango wao unaweza kuwa 40% kwa kila mechi ila messi alone anacontribute zaidi ya 60%.... Let alone uwepo wake tu unasaidia issue za nje ya uwanja kma morale boosting na kuwachezea psychologically timu pinzani kucheza kwa caution sana kisa "messi yupo" so mchango unaweza enda hadi 70%.

Hivyo bottom line ni kweli wanamchango ila hawafikii mchango anaoutoa messi....

Nakuacha na swali.....
If X=Barca and Barca= X.... Find X 😀😛

Upo vizuri sheikh wng
 
Hali iliyopo kwa sasa....

Hii kasi hii... Jamaa anazidi kuwa na makali kadri umri unaenda...

Natabiri atacheza hadi akiwa na miaka 40 huyu mtu
IMG_20190226_200229.jpeg
IMG_20190226_200413.jpeg
IMG_20190226_201225.jpeg
IMG_20190226_201230.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom