FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hivi wewe ni mzima? huyo Paulinho alifanya nini pale? mboona walimuuza ndani ya mwaka baada ya kushtukia kama wameenda mchomo
labda mkuu usisahau kuwa soka n biashara
so cha kucalculate zaid n kuwa paulinho alnunuliwa kwa hw much na akauzwa kwa hw much ndo utabaini kama board ilijshtukia kufanya makosa au la

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah timu inahitaji kuwa na wazee wa kazi hata wawili watatu hivi
Sote ni mashahidi, madogo wa La masia mechi za copa del rey bado zinawatoa jasho mpaka watu wazima waingilie.

Tukisema tuwategemee wao kama back up kwa sasa basi UEFA tusahau. Watu wazima wakiwa exhausted kidogo yanatukuta yale ya Roma msimu uliopita.

Ukiwa na watu kama Boateng na Arturo atleast unakua na backup ya uhakika plus experience. Lakini pia hawa jamaa wote ni above 30 yrs, so watakuepo kwa muda mfupi wakati madogo wanapata experience zaidi.

Msimu huu tunawania trebble, huwezi kushinda trebble kama Alena na akina Miranda ndio backup unayoitegemea. Inatakiwa akitoka mtu konki, anaingia mtu konki!

Anatoka Arthur anaingia arturo, anatoka Dembele anaingia Coutinho, anatoka Suarez anaingia Boateng. Hapo vijana kama Malcom, Alena na wenzie wako pembeni wanameza mate!

Tukikosa trebble msimu huu, alaumiwe Valverde!

- KANA -
 
labda mkuu usisahau kuwa soka n biashara
so cha kucalculate zaid n kuwa paulinho alnunuliwa kwa hw much na akauzwa kwa hw much ndo utabaini kama board ilijshtukia kufanya makosa au la

Sent using Jamii Forums mobile app

Bei aliyouzwa na aliyonunuliwa hazipishani mkuu, Timu kama Barca huwezi kuwa na mchezaji ka Paulinho halafu uwe unategemea kitu kwake. Jamaa kimeo na katika kosa kubwa walilofanya Brazil ni kumpa namba kwenye world cup. Alikua always worst player on the pitch. Barca inahitaji world class players in order wawe na ubora unaohitajika kwa tim kama yao nasio magarasa.
 
De Jong in da house......

Eric Abidal does somethings lakini katikati si patakua congested?
I see a promising Barcelona
Screenshot_20190123-204629_Instagram.jpeg
 
Bodi ya usajili Barcelona inaona mbali sana. Unajua timu ya Barcelona ilikosa wachezaji wenye motivation and warrior mentality.

Wale wachezaji ambao ni bad boys wenye roho mbaya, wasio crack wakiwa under pressure wala wakipakiwa matusi kutoka kwa uwanja mzima wa timu pinzani. Imezoeleka wachezaji wa barca wana technicality na skills huku wakiwa gently and humble muda wote wa mchezo hivyo ukiwachezea undava wanafarakana na kutoka mchezoni na hawana mchezaji wa kuresist na kutuliza hiyo hali na wanajikuta kwenye hatari ya kufungwa easily.

Bodi ililiona hili wakati Barcelona inatolewa na Roma kule Italy, wachezaji wa Roma waliwafanyia bullying wachezaji wa Barcelona kwa soka la undava na hakuwepo wa kuresist mwishowe tukaishia kula kichapo evi.

Baada ya kuliona hilo bodi ikaona itafute wachezaji wale ambao kule mtaani hata mama zetu walikuwa wanatuonya tusicheze nao, watoto wenye roho mbaya na ngumu. Na hao wachezaji ni Arturo Vidal na Kevin Prince Boateng.

Ujio wa Boateng ni kuungana na arturo Vidal, pamoja na Suarez kuzima kila jaribio la undava uwanjani na nje ya uwanja.
50989099_1222550881236588_1310203657957933056_o.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Radio za Spain zinasema,Barca itabidi wa balance books-kwa hiyo kuna majina makubwa itabidi yauzwe
Me siamini ,tuliuuza store kama wachezaji wa tano hivi last summer ,bila kununua sana (tulimnunua Lenglet na Malcom basi),labda tuuze kwa sababu ya technical reason ,huyo Boateng mwisho wa msimu anarudi kwao ..na Malcolm tukimuuza biashara inakua safi kabisa....Barcelona wanahesabu kali sana ,trust me mwisho wa msimu atachukuliwa striker kwa hela ndefu....ku balance attacks
 
Wakuu, Valverdi ni floppy sijapata kuona.
Ameamua kuuua vipaji vyetu. Ameshindwa kumtumia Coutihno. Kifupi uwezo wa kutumia wachezaji ni mdogo sana. Rotation policy yake ni very poor na hata anapofanya sub zinashindwa kupindua matokeo tofauti na msimu uliopita.

Alafu anajibu kirahisi tu "lazima tupindue matokeo second leg". Swali, nini maana ya kupumzisha wachezaji (Messi, Busquet) kama game ya pili unataka watumie nguvu nyingi kupindua matokeo? Si bora wangetumika game ya kwanza kujipunguzia mzigo!!!!.

Ana Vision kubwa ya kushinda makombe 3 (Uefa, Ligi na CD) kwa mkupuo msimu huu lakini namna (means) ya kufikia vision hiyo ni butu kuliko kawaida.

Atimuliwe tu maana hamna namna nyingine sasa, uongozi unasubiri nini? Au mpaka yaje kutokea kama ya msimu uliopita????.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bodi ya usajili Barcelona inaona mbali sana. Unajua timu ya Barcelona ilikosa wachezaji wenye motivation and warrior mentality.

Wale wachezaji ambao ni bad boys wenye roho mbaya, wasio crack wakiwa under pressure wala wakipakiwa matusi kutoka kwa uwanja mzima wa timu pinzani. Imezoeleka wachezaji wa barca wana technicality na skills huku wakiwa gently and humble muda wote wa mchezo hivyo ukiwachezea undava wanafarakana na kutoka mchezoni na hawana mchezaji wa kuresist na kutuliza hiyo hali na wanajikuta kwenye hatari ya kufungwa easily.

Bodi ililiona hili wakati Barcelona inatolewa na Roma kule Italy, wachezaji wa Roma waliwafanyia bullying wachezaji wa Barcelona kwa soka la undava na hakuwepo wa kuresist mwishowe tukaishia kula kichapo evi.

Baada ya kuliona hilo bodi ikaona itafute wachezaji wale ambao kule mtaani hata mama zetu walikuwa wanatuonya tusicheze nao, watoto wenye roho mbaya na ngumu. Na hao wachezaji ni Arturo Vidal na Kevin Prince Boateng.

Ujio wa Boateng ni kuungana na arturo Vidal, pamoja na Suarez kuzima kila jaribio la undava uwanjani na nje ya uwanja.View attachment 1003013

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakusoma tu mwl Kashasha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom