Kwa hiyo huyu Boateng anachezaga position ipi hasa?Kuna watu wana bahati jamani huyu Boateng nina uhakika jana usiku wakati analala, na katika maisha yake hakutegemea kuja Camp Nou Leo hii
Ni back up ya Suarez baada ya kuondoka dogo Munir El Hadaad to SevillaKwa hiyo huyu Boateng anachezaga position ipi hasa?
kwa hiyo player over 30 anayechezea Sossullo(ndio nimeisikia hii club leo) anaweza kuwa na kiwango cha kucheza FCB.Ni back up ya Suarez baada ya kuondoka dogo Munir So Hadaad to Sevilla
So anacheza namba 9,kuna club hapo Spain alikua anacheza kabla ya kwenda Sossullo huko Italy
Ni back up ya Suarez baada ya kuondoka dogo Munir El Hadaad to Sevilla
So anacheza namba 9,kuna club hapo Spain alikua anacheza kabla ya kwenda Sossullo huko Italy
kwa hiyo player over 30 anayechezea Sossullo(ndio nimeisikia hii club leo) anaweza kuwa na kiwango cha kucheza FCB.
Ana physique nzuri hiyo mimi sijkatai (ana maguvu) au Velverde ndio kapendekeza?Tech team inaamini kwakuwa na uzoefu wa ligi zote kubwa duniani, atafanya vizuri.
Japo stats zake sio nzuri sana, jamaa ana control na pass matata za kijuaji sana inshallah anaweza kutupa kitu let's hope..
Yeah Man. Barcelona Live pia wamepost habari hii.Multiple sources report De Jong is a deal done
Eric Abidal all the best wao ndio wanajua our plans
De Jong is a promising future star
Just like Paulinho, Boateng is another suprise package for those who underestimate our board!
- KANA -
Experience yangu juu ya posts zako kwenye uzi wenu wa madridiots, inaniambia "YOU DON'T DESERVE THE PRIVILEGE OF MY RESPONSE".Hivi wewe ni mzima? huyo Paulinho alifanya nini pale? mboona walimuuza ndani ya mwaka baada ya kushtukia kama wameenda mchomo