Numby. nimeshinda hiyo. Barca wameshinda na Dortnund wameshinda. 20k inekuja 70k. sasa wapi tunakutana unywe hiyi 50k?Nipo busy na ubuyu wa wema. Nataman hayo matokeo yangekua ya man u jana.
the same tu malcom awa watu wange baki tu walpo kuaNumby tunafanyaje hapa?. el classico hii hapa, 50k hii hapa at our dipsposal. What should we do dear?Nipo busy na ubuyu wa wema. Nataman hayo matokeo yangekua ya man u jana.
Chuki hazisaidii mkuuNi Messi Ni problem. Tim IPO rada sana leo
Kumbe Numbisa ni KE!! nilikuwa sijuiHahaaa. poa Numby.
HahaaaaKumbe Numbisa ni KE!! nilikuwa sijui
Mie nakunywaga maji ya uhai tu.Numby. nimeshinda hiyo. Barca wameshinda na Dortnund wameshinda. 20k inekuja 70k. sasa wapi tunakutana unywe hiyi 50k?
Numby tunafanyaje hapa?. el classico hii hapa, 50k hii hapa at our dipsposal. What should we do dear?
Jana performance ikikuwa vzr sana, karibu kila idaraFORCA BARCA
Ya jana imeisha kwa fraha tusubirie El Clasco trh 28
Hahah daah hii kali sana eti "Shekh Mess"hahahahaaaaaaaa jana wakati naangalia mechi ya barcelona maeneo fulani nilikuwa nimekaa pamoja na kijana ambaye anaonekana ni muathirika wa ulevi wa kiswahili (gongo kali) basi baada ya lionel messi kufunga goli lake la 32 dhidi ya sevilla aliuliza swali moja la ajabu sana lililofanya wadau wote wanaoipenda barcelona na wanaoichukia barcelona wacheke kama vichaa.
aliliza swali lifuatalo:-
"hivi jamani hawa waandishi wa habari wa ulaya mpaka leo wameshindwa kuwafanyia mahojiano wazee wake lionel messi na kuwauliza walikuwa wanatumia chakula gani nyakati za usiku kabla hawajaingia kwenye pambano la kumtafuta mtoto lionel messi, kama walikuwa wanakula chipsi mayai nyakati za usiku basi watwambie na sisi wengine tujishindilie chipsi kabla hatujalala na wake zetu ili tupate mtoto mwenye kipaji kama Lionel messi".
baada ya dakika tatu mungu wa mpira akapata majeruhi kwa hali ilivyo inaonekana kuna malaika alichukizwa na kauli ya mlevi yule, na mimi nikaamua kwenda nyumbani kulala nilijihisi kama nitapoteza muda wangu kuangalia mechi bila ya sheikh messi kuwepo uwanjani.
nimebaki najiuliza muda huu kwa kipindi cha wiki tatu ambazo mungu wa mpira atakuwa likizo je ni nani atakayeuendesha ulimwengu wa mpira?
View attachment 906003
Nikweli kabisa mkuuWithout King Game haitakuwa na msisimko aise...
Kwenye El classical kama team itacheza kama Jana. Basi akina Numbisa watapata tabu
Ni kweli ndio maana nikasema kama tutakuwa na form nzuriMsituchukulie poa tunaweza geuza matokeo ndani ya dakika 90