FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Moja ya sifa za Barcelona ni flexibility ndio maana inabadilika na team na match inayocheza ;Nyuma ya velverde kuna tactical team ambayo inahakikisha wachezaji Psychologically na Physically wanakua fit ili waendane na tactics za mchezo husika
Thats why line up inaweza ikabadilika ku fit adoption ya match husika na kwakua wao wanawajua wachezaji zaidi yetu inakua tu rahisi kuweka first option hadi ya mwisho
Style ya mchezo wa jana tulihitaji watu wanaokaa na mpira na high possession pale katikati..ndio maana sikushangaa jina la Arthur Melo kuingizwa kwenye first line up na Dembele akaambiwa akae kama sub :
Weakness ya Tot ni kutamani kucheza kwa ku possess kama tulivyozaliwa tunafanya sisi uzawa wa lamasia(Barca style) ku anticipate aggressive style yao ya ku attack tulitakiwa tuwe na mtu ambaye ana pure characters za ku defend kushinda hata anavyo attack ..hapo jina la Semedo Nicholas likaingia tu bila kupingwa ,especially kwa style ya Tot ya kushambulia sana kupitia pembeni kwa Herry Kane na Eric Lamela hapo ndipo spurs walipoishiwa pumzi hadi first half yote hawakuweza kutekeleza plan yao na wachezaji wao wakapata frustration ya kutogusa mpira wengine hata ikizidi muda wa dakika 10
What we needed is to stress centrally and kicking piercing balls ...hili Messi alilielewa mapema... Busquets akisaidiana na Rakitic walikua wanapiga lower ,uppers zikiwa zinachukuliwa na Messi nankupiga mipira ya mwisho .
Kuna kitu commentor wa Ss5 alikua haelewi akawa anaropoka anasema is Messi a play Maker ,a passer or finisher?mwisho wa matches alipata majibu yote kuwa Messi ana qualities zote za mchezaji wa mpira wa kiwango cha perfection.. ndio maana kila mchezaji wa mpira na anaeujua mpira Messi anamuona kama ni mtu wa mastery ya juu kabisa ya utukufu wa football :This is conditionally if only You love football and not Ribnaldo marketing

Ivan Rakitic alicheza kwenye spaces zake zote... alizozifanyia mazoezi ya game plan ndio maana ilikua rahisi tu kupiga rebound zote zilizogonga mwamba what a volley goal from a Croatian
Kutokana na mbinu za mchezo plan nyingine ya Barcelona ilikua ni kutengeneza sharp left flank ambayo ina attach aggressive huyu sio mwingine ni jamaa yake Messi dual Jordi Alba ,alichokifanya jana London hadi sasa hivi wanajiuliza is he a winger a replacement of Neymar or a left full back .. nadhani majibu ya combination waliyapata Messi alipopigiwa penetrating ball kutoka kushoto na Coutinho alipopigiwa outer ambaya kwa Qualities za Coutinho Jordi Alba alijua watoto wanachezea koki dakika ya kwanza
Thisis Barca and we believe on our Team ....we are coming for treble this year
Audious....Au revoir Enchate
This is poetry!

Bandiko murua kabisa!
 
1. Uyu Arthur namuona Xavi kabisa mana ni box to box midfielder kama Xavi zile kampa kampa tena anazijua balaa. Ubora wake ni mzuri mno kwenye pasi fupi za kampa kampa tena ila mapungufu yake ni sio mzuri kwenye penetration pass na pass ndefu.
2. Beki za kati Lenglet na Pique mh ngoja tusubiri muda utaongea
3. Kipa tunae mzuri mno uyu Van Ter Stegen
4. Coutinho anaanza vizuri ila kipindi cha pili jana alikua anazingua tu.
 
IMG_20181004_174901_032.jpeg
 
hongera kwa Arthur anajua mpira ila hana creativity
Hana udambwi dambwi ka wa iniesta yule ni kama xavi mzee
Amejktahidi inabidi aongeze uwezo wa kupiga pass za mwisho, nadhani unazijua zile pass anazo piga messi (pass mpenyezo)
Like everyone, very happy with Arthur's game vs Tottenham. But I feel we're getting carried away, rushing things and putting unnecessary pressure on him by comparing him too much to the Maestro Xavi.
 
1. Uyu Arthur namuona Xavi kabisa mana ni box to box midfielder kama Xavi zile kampa kampa tena anazijua balaa. Ubora wake ni mzuri mno kwenye pasi fupi za kampa kampa tena ila mapungufu yake ni sio mzuri kwenye penetration pass na pass ndefu.
2. Beki za kati Lenglet na Pique mh ngoja tusubiri muda utaongea
3. Kipa tunae mzuri mno uyu Van Ter Stegen
4. Coutinho anaanza vizuri ila kipindi cha pili jana alikua anazingua tu.
Uchambuzi mzuri mno...siku tujaribuivi pale kati awe busquet,coutinho na arhur afu mbele awe messi dembele na suarez
 
1. Uyu Arthur namuona Xavi kabisa mana ni box to box midfielder kama Xavi zile kampa kampa tena anazijua balaa. Ubora wake ni mzuri mno kwenye pasi fupi za kampa kampa tena ila mapungufu yake ni sio mzuri kwenye penetration pass na pass ndefu.
2. Beki za kati Lenglet na Pique mh ngoja tusubiri muda utaongea
3. Kipa tunae mzuri mno uyu Van Ter Stegen
4. Coutinho anaanza vizuri ila kipindi cha pili jana alikua anazingua tu.
Coutinho anaachia mipira, namuonaga kama anabahatisha tu. Bora ya dembele kuliko huyu mbrazili hafai
 
Hapo ndipo mnapokosea, ni mapema Sana Huyu Dogo Bado hajakomaa. Hata Iniesta msimu wake wa kwanza na wa pili alionekana wa kawaida tu. ni Suala la muda tu
Halafu binadamu hatufanani kwa kiasi hicho
 
Xavi anasema mwaka ni mwezi May anatajia kupewa UEFA Pro License ya ku coach any team
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom