FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

wakuu emu piga picha, Uefa tukutane na Liver kwa defence yetu ilivyo sasa. Aisee, tunaweza kupigwa kipigo ambacho hatuwezi kukisahau. Yaani, Leganes tunashindwa kumpiga?, hata kama kuna new comers, hapana aisee!!!
 
Munir wamuachie copa del rey. leo Winger ya kulia angepiga Dembele na kushoto Coutinho ingekaa poa. Hili likocha linatuharibia toka lilivyoingia. Kwa ujingaujinga lilisababisha tutolewe na Roma.
 
Yani nyie jamaa kwa kuchana mikeka ya watu, mnaongoza.

Mkipewa win, mnaharibu. Mkipewa Loose, mnaharibu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…