FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mkuu tunaongelea Liver vs PSG matokeo 3 kwa 2,acha mkurupuko basi daah kama ile kujitapa eti msimu mzima hamkufungwa ukajisahaulisha levante nayo ipo la liga
Huyo psg unaeamini ni mgum sisi tulimpiga 6, jana psv 4... Simple mathematic
nani kibonde hapo... !!
 
Mkuu tunaongelea Liver vs PSG matokeo 3 kwa 2,acha mkurupuko basi daah kama ile kujitapa eti msimu mzima hamkufungwa ukajisahaulisha levante nayo ipo la liga
kumbuka ulipoongelea hayo ulihusisha barca na psv umesahau sio, Wewe si unadai barca tulikua na mechi rahisi ama!

Kuhusu rekodi ya kutofungwa nani anashikilia!???
 
GUI1 eti huyu mdau alielewa ule ubishani wetu au kadandia gari la kampeni ili mradi afike mujini kushangaa maghorofa?

Mkuu ukikuta kuna mada sehemu kaa pembeni soma mchezo kabla ya kujiweka mzima mzima. Tafuta comment ya mwanzo kabisa ya GUI utaelewa.
kumbuka ulipoongelea hayo ulihusisha barca na psv umesahau sio, Wewe si unadai barca tulikua na mechi rahisi ama!

Kuhusu rekodi ya kutofungwa nani anashikilia!???

Kwenye bold ni simba sports club mbele ya bwana jiwe na kaseja
 
Mipasho miingi kama haji manara! Hili ni jukwaa huru bwana si fungamani popote, na comment post yoyote as long as Barcelona is concerned
GUI1 eti huyu mdau alielewa ule ubishani wetu au kadandia gari la kampeni ili mradi afike mujini kushangaa maghorofa?

Mkuu ukikuta kuna mada sehemu kaa pembeni soma mchezo kabla ya kujiweka mzima mzima. Tafuta comment ya mwanzo kabisa ya GUI utaelewa.

Kwenye bold ni simba sports club mbele ya bwana jiwe na kaseja
 
Ila mkuu wewe mkurupukaji sana tena bila kuelewa ishu husika
Mipasho miingi kama haji manara! Hili ni jukwaa huru bwana si fungamani popote, na comment post yoyote as long as Barcelona is concerned
 
GUI1 eti huyu mdau alielewa ule ubishani wetu au kadandia gari la kampeni ili mradi afike mujini kushangaa maghorofa?

Mkuu ukikuta kuna mada sehemu kaa pembeni soma mchezo kabla ya kujiweka mzima mzima. Tafuta comment ya mwanzo kabisa ya GUI utaelewa.

Kwenye bold ni simba sports club mbele ya bwana jiwe na kaseja
Msamehe
 
Messi ni noma msimu huu anabeba ufungaj bora uefa champ.. akuna wakumfikia??
Kikubwa wahakikishe anapata pasi kama za goli la 2 na la 3 kwenye game zote, plus ufundi alionao. Kama angelikuwa anapata "penetration passes" kama anazowapigia yeye, hakika kila msimu angekuwa anapiga goli 50+. Msimu huu naona atafikisha...
 
Magazeti ya Spain yanasema Barca kashinda match bila hata ya kutoka first gear-punde akipandisha gear inaweza kuwa hatari sana kwa opponents
Vilevile yanamsikitia Neymar kwamba at PSG ame derail kipaji chake bure
Tatizo Neymar alijali pesa zaidi kuliko kipaji chake. Na hayo ndiyo malipo kwake...
 
Kikubwa wahakikishe anapata pasi kama za goli la 2 na la 3 kwenye game zote, plus ufundi alionao. Kama angelikuwa anapata "penetration passes" kama anazowapigia yeye, hakika kila msimu angekuwa anapiga goli 50+. Msimu huu naona atafikisha...
Team work,huoni ni sawa tu hata yeye akiwa anafanya kazi ya assist if you think ni mzuri kwa hilo.
Wakati huo huo CR 7 akaendelea na ufalme wake UEFA
 
Magazeti ya Spain yanasema Barca kashinda match bila hata ya kutoka first gear-punde akipandisha gear inaweza kuwa hatari sana kwa opponents
Vilevile yanamsikitia Neymar kwamba at PSG ame derail kipaji chake bure
Kwa maoni yangu hatuna gear zaidi ya pale. Nina wasiwasi sana na hii timu. Imepunguza uwezo wa kukaa na mpira na maadui wanafika sana golini kwetu kwenye counter.
 
Sasa ni uongo kuwa psg ni vibonde?

Psg mkali huko huko kwao hilo lipo wazi kabisa


Haina tofauti na Lipuli fc...alafu cha kushangaza wamenunua michezaji kwa pesa nyingi, uwanjani inarukaruka tu...bora wangemnunua dybala kuliko huyo bishoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom