FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,361
Yaani huyu dogo sjajua tatizo nini?Ila dembele bado anacheza kwa presha
Yaani huyu dogo sjajua tatizo nini?Ila dembele bado anacheza kwa presha
Bado anatatizo la kufanya maamuzi sahihi akiwa katika final third ya uwanjaLeo kajitahidi sana sema hajafaulu sana kwenye ku advance mbele na mipira yake
PSG wanamtaka kwa udi na uvumba its better kumuuza na kutafuta kiungo wa maana I'll coutihno acheze winger ya kushotoYaani huyu dogo sjajua tatizo nini?
Kabisa, mi hata siamini tena kama atakuja kuwa mzuri zaidi ya hapo.!!!PSG wanamtaka kwa udi na uvumba its better kumuuza na kutafuta kiungo wa maana I'll coutihno acheze winger ya kushoto
Anakimbia kimbia kama yupo umisetaKabisa, mi hata siamini tena kama atakuja kuwa mzuri zaidi ya hapo.!!!
Arthur tusimlaumu kwa gemu ya sevila maana jamaa walikamia mechi hawakumpa Barcelona nafasi ya kucheza mpira kabisa walikua wanakimbia mwanzo mwisho kama wana mapafu ya mbwaAo wanaomcriticize dembele leo hawajaangalia mpira apart from goal dembele kacheze fresh sana na ataendelea kuwaprove wrong....combination yake na messi ni fire...mchezaji ambayekacheza boko ni suarez afu uyo arthur kacheza kawaida sana hajapiga dribbles wala through passes za maana sema katulia kwenye middle