FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,361
Daah! Pole sana ila ndoo tulichukua Mkuu kiroho safi tu. Huku Dembouz na Stegen wakiwa mashujaa wa mchezo.
Daah! Pole sana ila ndoo tulichukua Mkuu kiroho safi tu. Huku Dembouz na Stegen wakiwa mashujaa wa mchezo.
Ila akiipatiaga kwenye long range goals utamtaka ubaya. Kama goli la ushindi alofunga.!!!Dembele kwenye finishing hayuko poa. Sijui haiwezi winger ya kushoto.
Aisee!!! Kidogo nipate "density " badala ya "pressure" Mkuu. Mambo ya betting shida sana maana ilibaki Barcelona tu. Mungu mkubwa sana, Ter Stegen akafanya mambo.Stergen kaficha penati hapa. mwanzo mzuri huu. dk ya 90+3
Nafikiri silawama Mkuu ila ni analysis tu kuhusu game alivyoiona. Kiukweli kajitahidi sana.Arthur tusimlaumu kwa gemu ya sevila maana jamaa walikamia mechi hawakumpa Barcelona nafasi ya kucheza mpira kabisa walikua wanakimbia mwanzo mwisho kama wana mapafu ya mbwa
Baada ya Coutinho kuingia alihamia kulia. ndipo alipata na goli.Mm nimeangalia second half, dembele naona leo kajitahidi sana kuliko match zingine za nyuma, pia mkumbuke hii winga ya kushoto ndio leo amecheza natural position yake ni winga ya kulia
Uko sahihi sana mkuu, hata alivyo kuwa kocha anamtoa Dembele nilijiuliza kwann hajamtoa SuarezAo wanaomcriticize dembele leo hawajaangalia mpira apart from goal dembele kacheze fresh sana na ataendelea kuwaprove wrong....combination yake na messi ni fire...mchezaji ambayekacheza boko ni suarez afu uyo arthur kacheza kawaida sana hajapiga dribbles wala through passes za maana sema katulia kwenye middle
Siku hizi lini na lini? Kuwa specific mkuu..ila Mess siku iz naona uwezo umepungua sana sijui ndo uzee
Tuwe wapoleVarvelde team imemshinda hii,
Team inakosa kabsa ubunifu mbele.
Anacheza mfumo wa kukaba sana kiasi kwamba wachezaji wamekosa kabsa kufikiria jinsi ya kufunga
Ni kweli aisee, yaani aina ya magoli kama enzi hizo hamna. Winger tulizo nazo ni butu sana. Yaani zikipata mpira zinafikiria zaidi kurudisha mpira nyuma tu.Varvelde team imemshinda hii,
Team inakosa kabsa ubunifu mbele.
Anacheza mfumo wa kukaba sana kiasi kwamba wachezaji wamekosa kabsa kufikiria jinsi ya kufunga
Hhhhh malcom mchezaji wa kawaida sana kwa barca naezamfananisha na rafinha sio mchezaji wa kuexpect makubwa kwa msimu huu ila akikua atatusaidia zaidi ila ni mchezaji kwamba mechi ndogo ndogo izi tunawezamuamini 100% na so kupumzsha wakubwa...na apo kwa semedo naona benchi litamuhusu kwa serg.roberto.....usajili utakaotusaidia mechi kubwa ndani ya msimu huu naona ni vidal 2 ao wengne wameletwa kupanua kikosi tuNi kweli aisee, yaani aina ya magoli kama enzi hizo hamna. Winger tulizo nazo ni butu sana. Yaani zikipata mpira zinafikiria zaidi kurudisha mpira nyuma tu.
Malcom+Semedo huenda wakaleta uhai huo maana kule US tour walikuwa wanakimbiza vizuri sana pembeni na kupiga kati cross za maana sana.
Dani Alves na Neymar walikuwa wanaweza sana hiyo kazi.
ila Mess siku iz naona uwezo umepungua sana sijui ndo uzee
I wonderSiku hizi!!!!!!! Huyu huyu messi tumjuae? Au ramadhan singano!!


Semedo nae mpira mwingi anarudisha nyumaHhhhh malcom mchezaji wa kawaida sana kwa barca naezamfananisha na rafinha sio mchezaji wa kuexpect makubwa kwa msimu huu ila akikua atatusaidia zaidi ila ni mchezaji kwamba mechi ndogo ndogo izi tunawezamuamini 100% na so kupumzsha wakubwa...na apo kwa semedo naona benchi litamuhusu kwa serg.roberto.....usajili utakaotusaidia mechi kubwa ndani ya msimu huu naona ni vidal 2 ao wengne wameletwa kupanua kikosi tu
Jamaa anampima King kwa mechi moja anasahau goli la pique lilitokana na faulo aliyopiga king leo halaf msimu uliopita ameongoza ufungaji Ulaya nzimaSiku hizi!!!!!!! Huyu huyu messi tumjuae? Au ramadhan singano!!
Jamaa anampima King kwa mechi moja anasahau goli la pique lilitokana na faulo aliyopiga king leo halaf msimu uliopita ameongoza ufungaji Ulaya nzima
Yeah! Kifupi tuko na benchi la maana msimu huu.Hhhhh malcom mchezaji wa kawaida sana kwa barca naezamfananisha na rafinha sio mchezaji wa kuexpect makubwa kwa msimu huu ila akikua atatusaidia zaidi ila ni mchezaji kwamba mechi ndogo ndogo izi tunawezamuamini 100% na so kupumzsha wakubwa...na apo kwa semedo naona benchi litamuhusu kwa serg.roberto.....usajili utakaotusaidia mechi kubwa ndani ya msimu huu naona ni vidal 2 ao wengne wameletwa kupanua kikosi tu
Msimu huu pia sidhani kama watamgusa!!! Ngoja tuone MkuuJamaa anampima King kwa mechi moja anasahau goli la pique lilitokana na faulo aliyopiga king leo halaf msimu uliopita ameongoza ufungaji Ulaya nzima