Jerry Rebiam
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 402
- 360
pogba akija inakua sio team tena ila vitisho kwa wapinzaniRaiola kapewa kazi rasimi kuhakikisha Pogba anatua kwenye mji wa catulunya
pogba akija inakua sio team tena ila vitisho kwa wapinzaniRaiola kapewa kazi rasimi kuhakikisha Pogba anatua kwenye mji wa catulunya
Hivi Semedo Bado haaminiki mpaka sasaNamba tatu yupo barca B, sio mbaya
Sion umuhimu wala ulazima wa kumsajiri PogbaIkiwa transfer inamuhusu Pogba we better postpone it katikati patakua crowded sana na wachezaji wengi
Ndio muda wa S.Roberto kuchukua mikoba yake yote ya midfielderSion umuhimu wala ulazima wa kumsajiri Pogba
Tuna Coutinho, Rakitic, Busquets, A. Vidal, Denis Suarez, Sergi Roberto, na tuna madogo Arthur, na Puig
Huyo jamaa sijawah kumkubali kabsaWakala wa pogba wameshakubaliana na mshahara kabisa, man u wanakanusha... Hii deal inaweza kutokea wakuu.
Ooh
Anaaminika mkuuHivi Semedo Bado haaminiki mpaka sasa
Arthur kapewa
Loan kumbeKwahiyo sasa ni rasmi Lucas Digne, Yeri Mina na Andre Gomez wote wameelekea Everton View attachment 831381
Malcom vipi?Arthur kapewa
msimu huu ntashabikia EvertonKwahiyo sasa ni rasmi Lucas Digne, Yeri Mina na Andre Gomez wote wameelekea Everton View attachment 831381
Loan kumbe