FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Article 2

Kwanini usajili wa Artulo Vidal?
1.Ana characteristics za Paulinho ambaye aliweza ku manage kuwa key player na kipenzi mkubwa sana wa Velverde Ernesto
Kwa ufupi hata mimi nilishangaa lakini Marca waliripoti Paulinho aliuzwa kinyume na matakwa ya kocha -i concour 100% kwa sababu muda team haina offensive midfielder utauzaje reserve?Iniesta ameenda kula hela Japan ,why selling Paulinho ambaye ana offer offensive na defensive mid fielder roles ?so Ernesto needed replacement
2.Ana experience:Artulo ni type ya players wa lion style die hard and very strong players
Hata team ikiwa na matokeo mabaya unahitaji midfielder zenye roho mbaya kama yeye ili waweze kukata umeme na kushambulia team pinzani

3.Artulo is good at aerial duels
Artulo Vidal ni mzuri sana kwenye mipira ya juu kwa kuzuia na kufunga ;Barca damu tunajua udhaifu wetu especially kwenye kuzuia corners na kushambulia -tuna magoli machache sana ya vichwa ,hii inategemea nature ya attackers wetu ambao wengi sio wazuri kwenye mipira ya juu(Messi ,Coutinho)

4.Tunataka UEFA :so ni bora usajili ufanyike mapema hatutaki mambo ya mwaka jana tunasajili wachezaji wazuri.. (coutinho ) katikati ya msimu halafu tunafungwa na sheria za UEFA mchezaji haruhusiwi kucheza

5.Velverde / Barcelona style;kwa kumchukua vidal Ivan Rakitic atapata chance zaidi ya ku play offensive roles(attacking) ambapo akishirikiana na Busquets naiona defence ngumu sana ya Barcelona ambayo imeongezewa kijana Lenglet .Ni hivi kwa sababu ya tabia ya Artulo Vidal kucheza all round (wide katikati ) ana possession ability na passing naiona Barcelona ambayo itakua haipitiki katikati na ambayo inashambulia muda wote can you imagine hapa sijamtaja Messi na Coutinho ambao pia wanacheza wide katikati?kuna uwezekano mkubwa Messi na El Pisterelo (Suarez) wakawa na magoli mengi sana msimu unaokuja na possibly season ya 2012-2013 ya Messi kufunga goli 91 itajirudia


Namaliza :Vidal kwa age yake ni short term solution ,big up kwa Eric Vidal kuwachukua Arthur Mello "msikivu and focused" ambaye mimi namuona kama the next iniesta
This is my pure analysis based on my intuition na experiences kama mwanachama damu wa Barca
You said it all!

Huu msimu tutanyanyasa European football bila chembe ya huruma. Nawahurumia madridiots!

Hold your jetpack, we're about to fly!
 
Article 2

Kwanini usajili wa Artulo Vidal?
1.Ana characteristics za Paulinho ambaye aliweza ku manage kuwa key player na kipenzi mkubwa sana wa Velverde Ernesto
Kwa ufupi hata mimi nilishangaa lakini Marca waliripoti Paulinho aliuzwa kinyume na matakwa ya kocha -i concour 100% kwa sababu muda team haina offensive midfielder utauzaje reserve?Iniesta ameenda kula hela Japan ,why selling Paulinho ambaye ana offer offensive na defensive mid fielder roles ?so Ernesto needed replacement
2.Ana experience:Artulo ni type ya players wa lion style die hard and very strong players
Hata team ikiwa na matokeo mabaya unahitaji midfielder zenye roho mbaya kama yeye ili waweze kukata umeme na kushambulia team pinzani

3.Artulo is good at aerial duels
Artulo Vidal ni mzuri sana kwenye mipira ya juu kwa kuzuia na kufunga ;Barca damu tunajua udhaifu wetu especially kwenye kuzuia corners na kushambulia -tuna magoli machache sana ya vichwa ,hii inategemea nature ya attackers wetu ambao wengi sio wazuri kwenye mipira ya juu(Messi ,Coutinho)

4.Tunataka UEFA :so ni bora usajili ufanyike mapema hatutaki mambo ya mwaka jana tunasajili wachezaji wazuri.. (coutinho ) katikati ya msimu halafu tunafungwa na sheria za UEFA mchezaji haruhusiwi kucheza

5.Velverde / Barcelona style;kwa kumchukua vidal Ivan Rakitic atapata chance zaidi ya ku play offensive roles(attacking) ambapo akishirikiana na Busquets naiona defence ngumu sana ya Barcelona ambayo imeongezewa kijana Lenglet .Ni hivi kwa sababu ya tabia ya Artulo Vidal kucheza all round (wide katikati ) ana possession ability na passing naiona Barcelona ambayo itakua haipitiki katikati na ambayo inashambulia muda wote can you imagine hapa sijamtaja Messi na Coutinho ambao pia wanacheza wide katikati?kuna uwezekano mkubwa Messi na El Pisterelo (Suarez) wakawa na magoli mengi sana msimu unaokuja na possibly season ya 2012-2013 ya Messi kufunga goli 91 itajirudia


Namaliza :Vidal kwa age yake ni short term solution ,big up kwa Eric Vidal kuwachukua Arthur Mello "msikivu and focused" ambaye mimi namuona kama the next iniesta
This is my pure analysis based on my intuition na experiences kama mwanachama damu wa Barca
Super fine analysis Mkuu!. Ngoja msimu uanze, hapa tunaungoja kwa hamu.
 
Marca readers rate Barca players and coach after the defeat against Milan:

Riqui Puig (613 upvotes) - "A headache for opponents, his direct running was a joy to watch. Missed a chance in the last few minutes was the most refreshing appearance from a Barcelona player in a long time."

Sergi Roberto (575) - Wanted minutes in the middle of the field, and showed his best version."

Arthur (569) - "Adapting to the team at an amazing speed. Doesn't commit mistakes or lose the ball."

Malcom (540) - "The Brazilian looks very good and incisive. Showed that he can also play as a left winger."

Rafinha (424) - "Very participative and with an important contribution in the recovery phase. Physically, he's like a bull."

Semedo (322) - "Good performance from the Portuguese, and his forays were a constant menace for the Italians. Cost Barcelona the game with a late mistake."

Miranda (304) - "At a great level in a position where, if if he carries on doing things well, he can become Alba's substitute. Heavily involved in the offensive phase, and edged ahead of Cucurella on this tour."

Lenglet (254) - "Did well defensively and did what is expected of a Barcelona defender."

Munir (222) - "Dangerous at all times. He had chances, but he lacked effectiveness."

Cillessen (197) - "Quiet game. Not a single save to make in the 45 minutes he was on the pitch."

Marlon (145) - "Also at a good level and it's incomprehensible that Barcelona don't want to do more with this player. The Catalans should keep a repurchase option when he leaves."

Ter Stegen (65) - "A bitter debut for the German, who conceded the goal when the game already seemed destined to go to penalties."

Do you agree with the ratings?
IMG_20180805_190202_247.jpg
 
t is the actual beauty of football, it is the kind of thing you cannot copy & paste, I am a bit jealous of Barcelona’s model,” he said.

”It is something that takes years to do, it’s how they feel the game.

“He [Riqui] is a spectacular footballer.

”Even though Barcelona have players that look like kids, they touch the ball with such beauty.”

By Gatuso
 
Baada ya kusikia habari za hapa na pale, leo imebidi ni download hii match nijionee Taratibu kama yaliyomo yamo #wearebarca
IMG_20180806_201214.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom