FineForever
JF-Expert Member
- Apr 12, 2017
- 1,777
- 2,361
Aggressive mid (Aturo Vidal) ndani ya nyumba tayari. Wakati huohuo Alex Vidal anarudi zake Sevilla.
Alcantara ana pancha Dunia nzima..!Alcantara injury Nyingi yule
HahaaaaAlcantara ana pancha Dunia nzima..!
Tunaitaka Champions league atleast mara mbili ndani ya misimu mitatu ijayo. Hapo lazima tuwe na nguvu plus experience ya kutosha. Huyu jamaa ni midfield hitman, atatufaa kwenye hii kazi.Lkn tumechukua Mzee sana huyu
HahahaaaaTunaitaka Champions league atleast mara mbili ndani ya misimu mitatu ijayo. Hapo lazima tuwe na nguvu plus experience ya kutosha. Huyu jamaa ni midfield hitman, atatufaa kwenye hii kazi.
Finaly, Blaugranas tutapata ladha mpya kwenye timu yetu!
Upambanaji wa kutokupumzika ndani ya dakika tisini, mpira wa kihuni (nampa pole Ramos mapema), midfield yenye ukatili na upole at the same time, with the maximum game winning spirit a player can offer!
Kuna football players, alafu kuna huyu jamaa. Ladies and gentlemen, this is king ARTURO VIDAL!
Kama bado hujaelewa namaanisha nini, angalia hii picha
View attachment 826594
Amekuja kwa dharura ya msimu huu baada ya mid (Rabiot, Frenk de Jong) zilizokuwa zinafukuziwa kuzingua. Ili kuepukana na usumbufu kama wa msimu uliopita kwa PSG (Marco Verat) na Arsenal (Hector Bellerin) kutupa matumaini lakini mwisho wa siku tukawakosa, uongozi umeamua kuanya suruhisho la muda mfupi hasa baada ya makubaliano na Ajax kuwa wako tayari kumwachia De Jong msimu ujao bila chenga.Lkn tumechukua Mzee sana huyu
Ni short term plan yule kama ilivyokuwa kwa Paulihno Mkuu.Lkn tumechukua Mzee sana huyu
Hahahah....Tunaitaka Champions league atleast mara mbili ndani ya misimu mitatu ijayo. Hapo lazima tuwe na nguvu plus experience ya kutosha. Huyu jamaa ni midfield hitman, atatufaa kwenye hii kazi.
Finaly, Blaugranas tutapata ladha mpya kwenye timu yetu!
Upambanaji wa kutokupumzika ndani ya dakika tisini, mpira wa kihuni (nampa pole Ramos mapema), midfield yenye ukatili na upole at the same time, with the maximum game winning spirit a player can offer!
Kuna football players, alafu kuna huyu jamaa. Ladies and gentlemen, this is king ARTURO VIDAL!
Kama bado hujaelewa namaanisha nini, angalia hii picha
View attachment 826594
Unamaanisha nini Mkuu? Binafisi umeniacha!Forca Barca. Walioishi Hispania,Brazil, Ureno, Uruguay, Chile, Argentina, Colombia tutaelewana
Huyu ARTURO hua nahisi ni Mkurya!Hahahah....
Itakuwa balaa yaani![]()
![]()
![]()
Siipatii picha vita itakavyokuwa el clasico ijayo (Huku Vidal kule Ramos).

Pamoja mkuu, ngoja tusubiri tuone. Halafu De jong kule naona anatumika kama defenderNi short term plan yule kama ilivyokuwa kwa Paulihno Mkuu.
Wishing Barcelona all the best. GO BARCA GOUnamaanisha nini Mkuu? Binafisi umeniacha!
Msimu huu ni waWishing Barcelona all the best. GO BARCA GO
pamoja na
.Lkn haitakuwa rahisi mkuu, hususani UEFA naona team za England na Italy zinajipanga sana puaMsimu huu ni wa![]()
![]()
![]()
pamoja na
![]()
![]()
![]()
.
Hilo halina ubishi Mkuu. Ndiyo maana Eric Abidal hana masihara kabisa ukija kwenye swala la usajili. Hataki kusikia issue za signing kuwa 7bu za kushindwa Uefa msimu huu unaoanza.Lkn haitakuwa rahisi mkuu, hususani UEFA naona team za England na Italy zinajipanga sana pua

Kuwa na Vidal sawa mkuu maana msimu uliopita bosquet alikuwa amechoka akawa uchochoro umtiti akafanya kazi kubwa pia hii italeta upana wa kikosi hata mambo yakiwa magumu tunakuwa na wachezaji wengi wa kubadili matokeoMbona bodi ya usajili kama imechanganyikia? Hivi ni kweli wameamua kumchukua Vidal?
Aisee, tunaenda kupoteza €30M za bure kabisa. Sababu gani ya msingi kwanza iliyopelekea kufikiwa kwa maamuzi haya?
Kifupi nimegadhabika sana aiseee