Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
Huko Twitter dembele analike kila kitu kibaya kinachosemwa juu yake.. Kuna jamaa aliandika kwamba Dembele wenzako wako kambini wakitrain hard wewe una party huko marekani wakati una uhakika wa namba... Dogo akalike hii na kuiretweet. Ahahaha!Namuonea huruma aisee naiona safari yake
Dogo kaishaiona future yake pale barca haipo maana intensity ni kubwa sana na ambitious and well determined young player kama yeye wanaitafuta nafasi ya kuchezea Barca at any cost na fortunately Lenglet, Malcolm, ni usajili ambao utatisha saana.
Tusubiri tuone!