Kwa performance ya Lenglet hii acha akacheze viduku hukohttps://t.co/hgdhMJnh2Z
Mina to wolves 30M
Daaaah mechi sasa hii mkuu?Jamani ni dk ya 16 hapa AC Roma wameshaloweshwa na mpira wameugusa mara mbili tu
Hata commentator anasema AC Roma wako kwenye real trouble
Aah napata updates tu za videos za magoli kupitia telegram, malcom naona anaonyesha moto 2-0Eeeh ndio tunajiangalizia![]()
In short Neymar is backAah napata updates tu za videos za magoli kupitia telegram, malcom naona anaonyesha moto 2-0
Kabisa Mkuu ila msimu huu naamini tutakuwa bora kuliko uliopitaDaaah wamerudisha wametufunga
3-2
Match kama hii tunaangalia performance tu basi..ha ha mibaba inacheza na team B na bado kijasho kinawatoka
Yeah Mkuu. Ninavyoona hii tour imelenga kutafuta cream itakayoungana na team yetu kubwa. Ndiyo maana kocha anahakikisha wachezaji wote wanapata airtime uwanjani. Kama kawaida new comers (Lenglet, Arthur na Malcom) wanaanza 1st Half alafu mapema 2nd Half wanaingia hawa madogo wa timu yetu ndogo (Barca B).Arthur ni level nyingne,
Barca board wambakize Rafihna na Munir wamtoe Alcaser Vidal na gomes..
Afu huyu Dembele namuona atakavyokua anasugua benchi kwa Malcon
Namuonea huruma aisee naiona safari yakeDembele akileta ubishoo first eleven ataisikia Haki ya mama Huyu Malcom ni![]()