FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Wakati huo upande wa pili... On target 1

IMG_20180509_234618.JPG
 
Dembele ameonesha uwezo mkubwa ili kuwafunga midomo mnaombeza na muondoe mawazo ya kumuuza wala kupeleka kwa mkopo sijui wapi

Ndio maana hata hajashangilia alivyofunga magoal
Yeah dogo asiuzwe aisee! Tutakuja kujuta zaidi tukimuuza kuliko baadhi ya watu tunavyolaumu sasa. Akienda huko ataenda kuwaka ile mbaya.
 
Hongereni sana mafans wenzangu kwa ushindi mnono kabisa....mechi mbili goli 7 sio mchezo. I mean Madrid & Villa real


Jana ilikuwa ni siku ya furaha mno kwetu,,, kwa madrid fans kulikuwa na sadness 😀😀😀😀
 
Daah ile assist ya Maestro Iniesta kwa King Leo Messi sio ya Dunia hii
Kwanza mi nimekaa nimeiangalia karibia Mara kumi. Ila bado sijaelewa, mana Messi alivyourudisha mpira kwa Iniesta akataka kama kusimama gafla aka react kukimbia, Iniesta nae aka react kwa kuuchopu mpira juu ya mabeki na kumkuta The King Messi nae akamchop yule kipa.
Ila messi na Iniesta wanatabia mbaya sijui walijua kua Dembele atafunga goli nzuri, wakaamua kumuonyesha kua wao ndo Magenius wa mpira
Bado nawaza tu!
 
Kwanza mi nimekaa nimeiangalia karibia Mara kumi. Ila bado sijaelewa, mana Messi alivyourudisha mpira kwa Iniesta akataka kama kusimama gafla aka react kukimbia, Iniesta nae aka react kwa kuuchopu mpira juu ya mabeki na kumkuta The King Messi nae akamchop yule kipa.
Ila messi na Iniesta wanatabia mbaya sijui walijua kua Dembele atafunga goli nzuri, wakaamua kumuonyesha kua wao ndo Magenius wa mpira
Bado nawaza tu!
Yaan ni kama akili zao zina connect ya pamoja walifikiria kwa pamoja
 
Kuelekea kwenye golden

1. Messi, 34 goals: Levante (A) & Real Sociedad (H)
2. Salah, 31 goals: Brighton (H)
3. Lewandowski, 29 goals: Stuttgart (H)
3. Immobile, 29 goals: Crotona (A) and Inter Milan (H) * injured
5. Cavani, 28 goals: Rennes (H), Caen (A)
5. Icardi, 28 goals: Sassuolo (H), Lazio (A)

[https://media-public]
 
Kwanza mi nimekaa nimeiangalia karibia Mara kumi. Ila bado sijaelewa, mana Messi alivyourudisha mpira kwa Iniesta akataka kama kusimama gafla aka react kukimbia, Iniesta nae aka react kwa kuuchopu mpira juu ya mabeki na kumkuta The King Messi nae akamchop yule kipa.
Ila messi na Iniesta wanatabia mbaya sijui walijua kua Dembele atafunga goli nzuri, wakaamua kumuonyesha kua wao ndo Magenius wa mpira
Bado nawaza tu!

Hahaa king bwana 😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom