FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hahaha shem wewe
Hahaha
Namwambia kuna mechi za brazili za usiku hana shda

Ila tukiwa tuna angalizia hom ana maswali kweli hadi nashindwa kuangalia mpira vzuri
Wanadai kipindi cha mkwere fursa zilikua vitu vya asili sijui matrevo,maforever living

Kipindi cha jiwe ni kipindi cha kamari
Hata hili la bet nahitaji elimu
 
Mniambie mashabiki wa Messi kwa nini hamumuheshim Ronaldo?

Anyway this is about Iniesta namuheshim sanaa. Hata Bernabeu tuliwahi mpa standing ovation
Hujajibu swali mtani, ila umekimbia swali. Nani kasema mimi simuheshimu Ronaldo?

Swali ni kwanini unamheshimu iniesta pekee na si La pulga?
 
Kuna mechi kabla ya ligi Semedo alimdhibiti Marcelo vilivyo. natamani kesho aanze.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hujajibu swali mtani, ila umekimbia swali. Nani kasema mimi simuheshimu Ronaldo?

Swali ni kwanini unamheshimu iniesta pekee na si La pulga?
Hahaha
Iniesta ni Legend wa club na ni mstaarabu na ni mchezaji pekee ambaye anamuheshim Ronaldo.

Sisi kama wana Madrid tuna mkubali Iniesta
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hahaha
Iniesta ni Legend wa club na ni mstaarabu na ni mchezaji pekee ambaye anamuheshim Ronaldo.

Sisi kama wana Madrid tuna mkubali Iniesta
Messi sio legend wa Barca?

Messi hamheshimu Ronaldo?

Mtu asipo mheshimu Ronaldo na wewe haumheshimu?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Messi sio legend wa Barca?

Messi hamheshimu Ronaldo?

Mtu asipo mheshimu Ronaldo na wewe haumheshimu?
Sawa braza
Namheshim Messi

Namheshimu na namkubali Iniesta
Iniesta ni legend wa Dunia maana kashinda kila aina ya kombe alilo pigania
 
Sawa braza
Namheshim Messi

Namheshimu na namkubali Iniesta
Iniesta ni legend wa Dunia maana kashinda kila aina ya kombe alilo pigania
Mkuu, nilikua nazingua tu kimtindo.

Ni vigumu sana kumpenda mchezaji aneongoza kwa kuifunga team yako.



By the way, anyone who loves football loves iniesta
 
Mkuu, nilikua nazingua tu kimtindo.

Ni vigumu sana kumpenda mchezaji aneongoza kwa kuifunga team yako.



By the way, anyone who loves football loves iniesta
Hamna Messi should be respected, siyo lazima umpende lakin ana faa kuheshimiwa.

Ila Iniesta is Pure soul of football
 
Kesho ipigwe 4-3-3.

Messi, Suarez, Coutinho, Dembele, Iniesta wote ndani. Jamaa watazikoga nyingi sana!
Hiyo Messi, Coutinho, Suarez na Dembele ilishaanza kuitwa fantastic four. Kuna siku waliupiga sana. Sema ni shida sana kuwachezesha Iniesta na Coutinho kwenye 433. Na kesho lazima Iniesta acheze.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Nmekuelewa mkuu, simpendi penaldo ila namheshimu sana!

Kama sio mesi, basi yeye ndo angekua mfalme (hapa najua hatutakubaliana).

Yeah! Si mbaya
Ni ngumu kumpenda mcgezaj wa barca lakini
Ronaldinho
Iniesta
Huwa nawafagilia bila kinyongo
 
Hiyo Messi, Coutinho, Suarez na Dembele ilishaanza kuitwa fantastic four. Kuna siku waliupiga sana. Sema ni shida sana kuwachezesha Iniesta na Coutinho kwenye 433. Na kesho lazima Iniesta acheze.
Dembele na coutinho wana u fabtastic gani ?

Acheni vituko majirani
 
Dembele na coutinho wana u fabtastic gani ?

Acheni vituko majirani
Umeona chances anazotengeneza Dembele? umeona magoli ya Coutinho yalivyo ya kifundi? Halafu kesho akicheza atafanya juu chini awafunge. huwezi fananisha winger ya Dembele na winger ya Vasquez.
 
Umeona chances anazotengeneza Dembele? umeona magoli ya Coutinho yalivyo ya kifundi? Halafu kesho akicheza atafanya juu chini awafunge. huwezi fananisha winger ya Dembele na winger ya Vasquez.
Winger ya vasquez inacheza fainali ya ulaya mara ya 3 now .

Dembele ni mchezaji pekee wa barca asiye na Iq ya kuchezea barca. Bora hata Coutinho
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hahaha
Angalia ukweli Dembelw ni aina ya wachezaji wa Chelsea siyo barcelona mchezaji gani wa barca hana unyumbufu kabsa
Hahahaa! No man kwa yule bado sanaa
As i said, hatuchukui ushauri wa mahasimu wetu!

Infact, ningeshangaa sana kama ungemsifia dembele!
 
  • Thanks
Reactions: PNC

Similar Discussions

Back
Top Bottom