Hebu nipe sababu za msingi za kutokumheshimu Messi ndugu mtani.Nimekuja kutoa salam zangu kwenu Wana barca mnampoteza Iniesta, Mchezaji pekee wa Barcelona nnaye mheshimu
True legend of the game
Mniambie mashabiki wa Messi kwa nini hamumuheshim Ronaldo?Hebu nipe sababu za msingi za kutokumheshimu Messi ndugu mtani.
Nitafutie siledi ya chelsea nikamuunge mkono mtuNimekuja kutoa salam zangu kwenu Wana barca mnampoteza Iniesta, Mchezaji pekee wa Barcelona nnaye mheshimu
True legend of the game
Hata barca ni timu yangu babe,,,,nikipigwa huko england narud spain kupooza machungu,,,,,,watu wengi wenye team zao uingereza wana timu pia huko spainNitafutie siledi ya chelsea nikamuunge mkono mtu
Haya itabidi uanze kunipa somo kuwahusu hawa waspainHata barca ni timu yangu babe,,,,nikipigwa huko england narud spain kupooza machungu,,,,,,watu wengi wenye team zao uingereza wana timu pia huko spain
Na safari hii ntawajua wacheza mpira wote na timu zao na vimbwanga vyaoMniambie mashabiki wa Messi kwa nini hamumuheshim Ronaldo?
Anyway this is about Iniesta namuheshim sanaa. Hata Bernabeu tuliwahi mpa standing ovation
HahahahaNitafutie siledi ya chelsea nikamuunge mkono mtu
Kaka naona tunapishana kama nilikuibia mke vileHata barca ni timu yangu babe,,,,nikipigwa huko england narud spain kupooza machungu,,,,,,watu wengi wenye team zao uingereza wana timu pia huko spain
Usiofu hadi ligi ya cyprus utafuatilia mamiii,,hapa ndio kwa mr.predicatorHaya itabidi uanze kunipa somo kuwahusu hawa waspain

HahahahaNa safari hii ntawajua wacheza mpira wote na timu zao na vimbwanga vyao

Hahaha vipi mkuuKaka naona tunapishana kama nilikuibia mke vile
Mi mzima ndugu yangu
Mzee wa bettingUsiofu hadi ligi ya cyprus utafuatilia mamiii,,hapa ndio kwa mr.predicator![]()

Safi kaka tuwe tuna salimiana bhana sie nduguu!Hahaha vipi mkuu
Ili uwe unamdanganya leo barca wanacheza kumbe unaingia kwa jirani.looooh hazard usiponfundisha haya maswala ntayafata gugoHahahaha
Kazanaga mwenzio Ney hajui kitu hu2a ana ona manyota tuu.
Ila mi na enjoy ambavyo hajui![]()
Kesho ni nani na nani?Safi kaka tuwe tuna salimiana bhana sie nduguu!
Kesho lazima tuwafunge maana mmezidi sasa kuongea.
Wanadai kipindi cha mkwere fursa zilikua vitu vya asili sijui matrevo,maforever livingMzee wa betting![]()
Madrid mtufunge barca?Safi kaka tuwe tuna salimiana bhana sie nduguu!
Kesho lazima tuwafunge maana mmezidi sasa kuongea.

HahahaIli uwe unamdanganya leo barca wanacheza kumbe unaingia kwa jirani.looooh hazard usiponfundisha haya maswala ntayafata gugo
Hapo kwenye yanga kufungwa lazimaMadrid mtufunge barca?
Au liva mtufunge chelsea?
Au usm alger mtufunge yanga??
![]()
![]()
![]()