FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

If heaven really exists, then Iniesta has a place up there!

Yani jana refaree kafanya maamuzi ndivyo sivyo, Iniesta akapanic na kumfokea. Lakini alivyotulia akaenda kumuomba refa msamaha!

That guy is a saint.

Inasikitisha kwamba huu ndio msimu wa mwisho kumuona akipigania uzi wa the blaugrana!
Nampemda sana iniesta he is super humble, shy, and kind.

Ni mpole na mkimya sana niliwahi kusikia interview ya Bosquet anadai iniesta ni mkimya na mpole sana na inafikia kipindi wakiwa kwenye chumba cha kubadilishia nguo hadi wamwite ndio wajue yumo unless unaweza kuhisi hayumo vyumbani kwa ukimya wake.

Jana kalia sana iniesta yaani ile ndio fainali yake ya mwisho na Barcelona. Timu ambayo kaanza kuipenda na kuitumikia akiwa na miaka 8 tu hadi Leo hii kazeeka. Na anahamia China hatacheza tena na Messi wala Sergio Inaumiza sana. Nenda Don...history will will never forget you as one of the best duo midfielder to have ever walk into this earth.

Waspanish wanasema Un canto a Galicia.. Quando saudade soy emanor soy amigos el compañero.

Mucho gracies el maestro! Iniesta.
 
Nampemda sana iniesta he is super humble, shy, and kind.

Ni mpole na mkimya sana niliwahi kusikia interview ya Bosquet anadai iniesta ni mkimya na mpole sana na inafikia kipindi wakiwa kwenye chumba cha kubadilishia nguo hadi wamwite ndio wajue yumo unless unaweza kuhisi hayumo vyumbani kwa ukimya wake.

Jana kalia sana iniesta yaani ile ndio fainali yake ya mwisho na Barcelona. Timu ambayo kaanza kuipenda na kuitumikia akiwa na miaka 8 tu hadi Leo hii kazeeka. Inaumiza sana. Nenda Don...history will will never forget you as one of the best duo midfielder to have ever walk into this earth.

Waspanish wanasema Un canto a Galicia.. Quando saudade soy emanor soy amigos el compañero.

Mucho gracies el maestro! Iniesta.
You said it all!
 
Madrid ni kama tom boy!

Huko mtaani anawakazia watu wanamuona mgumu kweli kweli.

Ila akifika gheto anavaa kanga alafu wahuni wanajipakulia!

Trust me, tunachukua hii Laliga tukiwa unbeaten mpaka mwisho wa msimu!
Haya tunayaita maneno ya mkosaji. Marco Asensio anakuja kuchafua record yenu pale pale camp nou
 
Mwaka jana bayern walifanyiwa figisu mkapita, mwaka huu juve wamefanyiwa figisu mmepita. mwaka jana kwenye ligi tulifanyiwa figisu huku mkibebwa mkachukua ligi. Makombe ya magumashi hata ladha hayana. Iliona vidume jana tumemtungua mtu 5.
Hahahahaha....!!! Kwani barca ndio huwa hapiti kwa figisu figisu mkuu?
 
If heaven really exists, then Iniesta has a place up there!

Yani jana refaree kafanya maamuzi ndivyo sivyo, Iniesta akapanic na kumfokea. Lakini alivyotulia akaenda kumuomba refa msamaha!

That guy is a saint.

Inasikitisha kwamba huu ndio msimu wa mwisho kumuona akipigania uzi wa the blaugrana!
So Sad, Jana alipiga mpira mkubwa sana, kira raheli kama akichomoka. Tutamkumbuka daima kuliko yeye atakavyo tukumbuka sisi.
 
Nampemda sana iniesta he is super humble, shy, and kind.

Ni mpole na mkimya sana niliwahi kusikia interview ya Bosquet anadai iniesta ni mkimya na mpole sana na inafikia kipindi wakiwa kwenye chumba cha kubadilishia nguo hadi wamwite ndio wajue yumo unless unaweza kuhisi hayumo vyumbani kwa ukimya wake.

Jana kalia sana iniesta yaani ile ndio fainali yake ya mwisho na Barcelona. Timu ambayo kaanza kuipenda na kuitumikia akiwa na miaka 8 tu hadi Leo hii kazeeka. Inaumiza sana. Nenda Don...history will will never forget you as one of the best duo midfielder to have ever walk into this earth.

Waspanish wanasema Un canto a Galicia.. Quando saudade soy emanor soy amigos el compañero.

Mucho gracies el maestro! Iniesta.
Daah!!! Nilimwona akilengwa na chozi la huzuni. Mungu ampe maisha marefu zaidi ili aendelee kutimiza ndoto zake hasa za baada ya soka la kulipwa.
 
Velverde ana kesi ya kujibu siku ya AC Roma nimekumbuka kudadadeki roho ishaanza kuuma
Kwanini team haikucheza kama inavyofanya leo? Daah anyways Copa Del Ley tayar la kwetu

Mkuu! yani Mpaka now machungu hayajaisha kwa huyu kocha,, nnahasira naye sana...ile game sio ya kutolewa kivile ukizingatia tulikuwa na goli 4...angalia Game ya jana ilikuwa fire sanaa.....
 
Nampemda sana iniesta he is super humble, shy, and kind.

Ni mpole na mkimya sana niliwahi kusikia interview ya Bosquet anadai iniesta ni mkimya na mpole sana na inafikia kipindi wakiwa kwenye chumba cha kubadilishia nguo hadi wamwite ndio wajue yumo unless unaweza kuhisi hayumo vyumbani kwa ukimya wake.

Jana kalia sana iniesta yaani ile ndio fainali yake ya mwisho na Barcelona. Timu ambayo kaanza kuipenda na kuitumikia akiwa na miaka 8 tu hadi Leo hii kazeeka. Na anahamia China hatacheza tena na Messi wala Sergio Inaumiza sana. Nenda Don...history will will never forget you as one of the best duo midfielder to have ever walk into this earth.

Waspanish wanasema Un canto a Galicia.. Quando saudade soy emanor soy amigos el compañero.

Mucho gracies el maestro! Iniesta.




¡Lo siento mucho por el gran Humble African! La familia está dejando la dulce mañana, rezamos por cada cosa buena que él haga.

El día después de dejar a La pulga, el mundo entero dejará de llorar.😀
😀😀😀
 
acha tu watoto wangu nije niwahadithie simulizi nzuri na yenye kusisimua za mwanadamu huyu wa ajabu anayeitwa andres iniesta.
kumuangalia iniesta akiwa na mpira hususani kwenye mechi kubwa ni raha zaidi kuliko kuangalia video ya nandy akiwa amevalia vazi la bikini ya rangi ya pink kwenye ghetto la bill nass.
kila la kheri huko uendako andres iniesta (ball retention), mwanadamu usiyekanyaga ardhi unapokuwa na mpira.
0*SBXP1q2Zlyz8Fdhs.

IniestaBallRetention.jpg

iniesta_assist_3332721b.jpg

nimelipenda pozi la claudio marchisio
너의 새로운 삶에 행운이 있기를 바란다.
 
FCB LIVE USER'S COMMENTS AFTER BARCA SMASHED SEVILLA (5-0) IN THE COPA DEL REY FINAL YESTERDAY.

1. Elizabeth Beltran
“Good but don’t dread on it and move forward!! You guys are amazing and you have to accept the fact that you can’t win it all as much as you want to!!”

2. Hay Du
“Iniesta was marvelous tonight. The entire team was. But the play of the day goes to Messi for giving Coutinho the penalty. It proves he's not only about individual prizes like the girl from Madrid.”

3. Greg Mendoza
“Until next season. If Valverde isn’t sacked, this tells him what most of us have been saying on this forum, Barcelona is an attacking team. Even when pressed they need to lift their energy level another notch and press the opposing team back. You beat the press with the press and counter quickly. We are a team that can beat anyone, in any place and anytime. We just have to know who we are as a club and how we are built. Roma should that we are not built to sit back and defend, but attack with hunger for the ball and a resolute attack!!”

4. Bolaji Bolaji
“Congratulations and a happy birthday to a world-class goalkeeper Cillessen, your brave pass to Coutinho will go down in history thanks for your patience in staying at Barca thank you wishing you long live and prosperity we shall archive greatness together up Barca.”

5. Bakare Daniel
“Our coach has an issue with substitution, will if we played like this against As Roman in the first leg they wouldn't have scored the away goal that kicked us out of Champions League. This is the best game so far under our coach. Keeping Dembele on the bench and using of Suarez all the time without him giving the team what we want from him is bad. Deni Suarez also should be given chance to play so he can blend with the team. Yerry Mina should also be allowed.

"We should think of doing gradual replacement of player like Busquet by giving youth player who can operate in that capacity time to play. Our coach should go back to full tiki-taka, where we dominate possession. Our belief is that the best way to defend is by attacking.”

6. Adam Chow
“I’m still unhappy bcos we got kicked out of UCL. I’m not satisfied just by winning this Copa cup. We need to win the treble for Iniesta!! He deserves it tho. But Barça played ridiculously against Roma. Meh"

 
paulinho, andre gomez, paco alcacer, alex vidal.
kwa maoni yangu ili msimu ujao barcelona iwe ni timu ya ushindani zaidi kwenye ligi ya mabingwa basi wachezaji wanne hawa wanapaswa watafutiwe mbadala. ukiwaangalia real madrid japokuwa msimu huu hawajafanya vizuri kwenye ligi kuu utagundua wana substitution nzuri zaidi kuliko barcelona kwenye eneo la mbele.
barcelona si timu ya kusajiili wachezaji wa kufanyia majaribio.
uwepo wa sergio roberto ni zawadi kutoka mbinguni kwa klabu ya barcelona kwa sababu anaweza kucheza nafasi ya alex vidal, andre gomez, paulinho na hata nafasi ya paco alcacer.
kama klabu itawauza wachezaji hawa wanne na baadae kusajili wachezaji watatu watakaoleta ushindani wa kugombea nafasi basi upo uwezekano wa kurudisha heshima ya msimu wa 2008.
umefika wakati wa barelona kupunguza watumishi hewa.
tusisahau pia andres iniesta anatazamiwa kuondoka mwishoni mwa msimu na pia performance ya osmane dembele haina tofauti na homa ya vipindi msimu huu.
eLFAiF5V.jpg
 
paulinho, andre gomez, paco alcacer, alex vidal.
kwa maoni yangu ili msimu ujao barcelona iwe ni timu ya ushindani zaidi kwenye ligi ya mabingwa basi wachezaji wanne hawa wanapaswa watafutiwe mbadala. ukiwaangalia real madrid japokuwa msimu huu hawajafanya vizuri kwenye ligi kuu utagundua wana substitution nzuri zaidi kuliko barcelona kwenye eneo la mbele.
barcelona si timu ya kusajiili wachezaji wa kufanyia majaribio.
uwepo wa sergio roberto ni zawadi kutoka mbinguni kwa klabu ya barcelona kwa sababu anaweza kucheza nafasi ya alex vidal, andre gomez, paulinho na hata nafasi ya paco alcacer.
kama klabu itawauza wachezaji hawa wanne na baadae kusajili wachezaji watatu watakaoleta ushindani wa kugombea nafasi basi upo uwezekano wa kurudisha heshima ya msimu wa 2008.
umefika wakati wa barelona kupunguza watumishi hewa.
tusisahau pia andres iniesta anatazamiwa kuondoka mwishoni mwa msimu na pia performance ya osmane dembele haina tofauti na homa ya vipindi msimu huu.
eLFAiF5V.jpg
Umeongea vema Mkuu. Kuna 1 anaitwa Arthur kutoka Brazil tayari tulisha msajili alikuwa tu anasubiri kuondoka kwa fundi Iniesta ili atie maguu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom