FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kutolewa kwa Barcelona hata ladha ya mpira umepungua sana...nnaamini tungekutananao hawa choka mbaya/Liver tungewanywesha magoli mengi tu. Ila haikuwa bahati yetu *****...yani nnahasira mno mkuu!
Uliudhi sana kushindwa kufunga hata goli moja!

Lakini hata hawa Roma huwa niwatafita sifa tu, wamewahi kumtoa real Madrid alafu wakaenda kufungwa saba na man u.
 
Gazeti la michezo la ufaransa, France football magazine wamemwomba msamaha kiungo wa Barcelona na spain Andre Aniesta kwa kutompa tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2010 ambayo ilichukuliwa na mchezaji mwenzake wa Barcelona Leonel Messi.
Iniesta ambaye aliisaidia Baca kupata vikombe vya laliga na UCL msimu wa 2009/2010 na kuiwezesha timu yake ya taifa Spain kunyakuwa kombe la dunia kwa kufunga goli la ushindi dhidi ya uholanzi alishika nafasi ya pili nyuma ya Messi na mbele ya Xavi Hernandez.
Gazeti hilo linasema tuzo hiyo alistahili Iniesta na si Messi kama ilivyotokea.

Tuzo ya mchezaji bora duniani hutolewa na gazeti la michezo la ufaransa la france football magazine.
 
Lujan aombwa radhi
Screenshot_20180426-163410.jpeg
 
Gazeti la michezo la ufaransa, France football magazine wamemwomba msamaha kiungo wa Barcelona na spain Andre Aniesta kwa kutompa tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2010 ambayo ilichukuliwa na mchezaji mwenzake wa Barcelona Leonel Messi.
Iniesta ambaye aliisaidia Baca kupata vikombe vya laliga na UCL msimu wa 2009/2010 na kuiwezesha timu yake ya taifa Spain kunyakuwa kombe la dunia kwa kufunga goli la ushindi dhidi ya uholanzi alishika nafasi ya pili nyuma ya Messi na mbele ya Xavi Hernandez.
Gazeti hilo linasema tuzo hiyo alistahili Iniesta na si Messi kama ilivyotokea.

Tuzo ya mchezaji bora duniani hutolewa na gazeti la michezo la ufaransa la france football magazine.
tuzo zenyewe hazina uhalisia. Tatizo zinategemea kura za mashabiki. Kila mmoja ana kipenzi chake kati ya Messi na Cr7
 
Inesta confirm his departure at the end of this season, all players attended the press except Messi, Dembele and Suarez
 
Kuna asilimia kubwa kesho Barcelona itatwaa la liga ,ila Furaha yao itaisha Jumanne pale real Madrid atakapofuzu fainali ya UCL
 
Kuna asilimia kubwa kesho Barcelona itatwaa la liga ,ila Furaha yao itaisha Jumanne pale real Madrid atakapofuzu fainali ya UCL
Ahahahaha ujaelewa tu. Furaha yetu haiwezi kukoma j4 ila inaweza kukoma mkitufunga next jumapili ya trh 6. Na sasa nawaonea Huruma Madridi mana Maestro Iniesta itakua El clasico yake ya mwisho ko mjihandaa kupokea kipigo.
All in all sisi tunaangalia game ya kesho ili tuchukue ubingwa afu mtuandalie guard of honour.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom