FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Velverde ana kesi ya kujibu siku ya AC Roma nimekumbuka kudadadeki roho ishaanza kuuma
Kwanini team haikucheza kama inavyofanya leo? Daah anyways Copa Del Ley tayar la kwetu
Kabisa Mkuu, ila imekuwa ni fundisho kubwa sana kwake, maana 7bu kubwa ya kucheza hovyo dhidi ya Roma na kutolewa ni kwamba Valverde hakuzingatia "rotation policy" kabla na hata siku ya game yenyewe, hivyo karibu wachezaji wote walikuwa hoi bini taabani.
 
Nimetafuta kosa mpaka sasa hivi sijaona.

Mambo madogo madogo tu, kama Jordi Alba kuingia sana kati anawaruhusu kupiga cross from right flank.

Hivi huyu valverde angechezesha team namna hii kule Italia angepungukiwa nini?

 
wiki hii tunainua kwapa, wiki ijayo pia tunainua kwapa!!. Ngoja nikalinyoe🙂🙂🙂. Siku zingine huyu Ndege akumbuke kuwa the best way to defend yourself is to attack. Leo nzonzi haonekani, ngoja, inawezekana Coutinho ndiyo ingredient iliyokosekana? au RB ya Roberto ni nzuri kuliko Semedo? Au Dembele hafai kule mbele? bado si helewi kwanini tumecheza poa namna hii🙄🙄🙄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom