Madrid we are coming for you shambafuuu
Camp Nou tunaua mtu goli 5-0

Hahaha, hata hivyo Liverpool ina nafasi kubwa ya kuchukua UCLNgoma imeisha 5-0. Kombe la 30 la Copa Del Rey
unaona Coutinho!? Ungeendelea kubaki liver je?
Ujue bado siaminamin kama Roma walitufunga na kutolewa UCLValverde aendelee kubaki. Adhabu yake tumwambie ahakikishe misimu mitatu ijayo ya Champions League hatufungwi hata mechi moja
Ile mechi nikikumbuka nakuwa mnyonge sana aseeVelverde ana kesi ya kujibu siku ya AC Roma nimekumbuka kudadadeki roho ishaanza kuuma
Kwanini team haikucheza kama inavyofanya leo? Daah anyways Copa Del Ley tayar la kwetu
Ile mechi nikikumbuka nakuwa mnyonge sana asee
Madrid we are coming for you shambafuuu
Camp Nou tunaua mtu goli 5-0
Sasa ubabe wenu ni mwisho getini huku ndani kuna wababe wenu *****Sikieni nyie bakadogs.
Hutu tukombe twa ndani ya Spain ndio level zenu.
UEFA ni ligi ya wababe ile, ina wababe wake. Na wanajulikana.
Asanteni.
Bila refa kufanya yake hata nusu msingeingiaNikadhani unaongelea UEFA.
Nilikua najiuliza toka lini bakadogs wakajitapa tapa UEFA.
Maana UEFA ina wababe wake na wanajulikana Dunia nzima.
Los Blancos na Munchen.
Ukileta fyokofyoko tunawaita Roma.
Valverde aendelee kubaki. Adhabu yake tumwambie ahakikishe misimu mitatu ijayo ya Champions League hatufungwi hata mechi moja
Sasa ubabe wenu ni mwisho getini huku ndani kuna wababe wenu *****
kuna kitu hakikuwa sawaKocha alibet ile game.
Mafanikio ya barcaBila refa kufanya yake hata nusu msingeingia
Unajua liver akichukua naye anahesabika amechukua!? na medali anapewa. anaweza chukua treble mwaka huu🙂🙂Hahaha, hata hivyo Liverpool ina nafasi kubwa ya kuchukua UCL
Mwaka jana bayern walifanyiwa figisu mkapita, mwaka huu juve wamefanyiwa figisu mmepita. mwaka jana kwenye ligi tulifanyiwa figisu huku mkibebwa mkachukua ligi. Makombe ya magumashi hata ladha hayana. Iliona vidume jana tumemtungua mtu 5.Mafanikio ya barca
Wamechukua copa de la rey 2016,2017 na 2018
Champions league :quarter final 2016,2017 na 2018
Mafanikio ya Madrid
UCl bingwa 2016,2017 na 2018
Copa de la rey :hawajachukua tokea 2014
Nimeamini kila kombe lina wababe wake
Hilo halina ubishi na waombe sana wapate UCL vinginevyo ni "trophyless" msimu huu...Madrid ni kama tom boy!
Huko mtaani anawakazia watu wanamuona mgumu kweli kweli.
Ila akifika gheto anavaa kanga alafu wahuni wanajipakulia!
Trust me, tunachukua hii Laliga tukiwa unbeaten mpaka mwisho wa msimu!