



Hahahaha,Lazima uwe na hofu,messi ni AllienInasikitisha sana siku Messi akiondoka Barca. Kabla hajaingia, Barca ilikuwa ya kawaida na kama seville wanhekuwa watulivu, wangepiga hata 5. Messi kaingia ndio timu ya Barca ikaanza kucheza. Ni aibu sana kwa wachezaji wote wa Barcelona kubebwa na mchezaji mmoja
AIBU na Barca bila Messi ni timu ya kawaida sana, hii imejionyesha mara kadhaa kama hachezi, huwa wanazidiwa.
Pia nafikiri hofu ya timu zingine juu ya Messi, uwepo wake uwanjank unawatia hofu. Asipokuwepo wanacheza mpira.
Game ya jana binafsi niliona imetukalia vibaya...na sikujua kwa nini king alikaa nje muda wote huo...Yaani nilikuwa naomba miujiza tu ila kila nikiona sioni breakthrough hahahaha Sevilla hawaamini mijicho yao sasa.
Mkuu uko sahihi sana hasa hapo kwa Sergi Roberto kuchezeshwa full back 2 huwa inaniuma mno yaan nikama ishakuwa confirmed tu jamaa ni beki na sio midfielder tenaMAONI KUTOKA KIVULE JUU YA MATCH YA JANA
1. Ni wakati wa Denis Suarez kuanza kikosi cha kwanza, kama ad Paulinho na uzito wake anaanza kikosi cha kwanza basi ni wakati wa Paulinho kumuachia nafasi Denis Suarez. Jana aliupiga mpira mwingi mno ad nkabaki nimeduwaa ndo huyu ambae hajacheza zaidi ya miezi 2 au naota. Na nadhani uyu ndio mrithi sahihi wa Neymar akiaminiwa.
2. Upande wa kulia Sergi Roberto na Dembele hawaelewani kabisa, naonaga mara nyingi mno Sergi akikimbia na mpira upande wa kulia naona anakua peke yake na Dembele haji kumpa support anaingia sana ndani badala asogee pembeni ili wacheze na Sergi Roberto
3. Upande wa kushoto nao asipocheza Iniesta tunayumba sana, akianza Coutinho na Alba, Alba akishika mpira haoni wa kumpasia badala Coutinho aje wacheze yeye anakimbilia mbele nadhani Iniesta inabidi azidi kumpa darasa Coutinho au tumbadili Coutinho awe anacheza 11 na tusimtegemee kama ni mrithi wa Fundi wa mpira Midfielder Maestro Andres Iniesta
4. Umtiti jana kayumba sana nadhani ni bahati mbaya na hakuna kila mchezaji anacheza vizuri kila match. Namkubali sana Umtiti na pass zake ruler na sijawahi muona akibutua ukija vibaya unaminywa alafu anapiga pass zake ruler zenye macho
5. Naumia sana tunaua kiwango cha Sergi Roberto kumchezesha number 2 kila siku akati huyu jamaa akiwa midfielder mie roho yangu inasuuzika sana mana ana kasi na anajua sana kupandisha timu uyu jamaa.
6. Barcelona na timu ya taifa ya Argentina bila ya KING MESSI haiwezekani, uyu MESSI uyu anatudai hela nyingi sana na ningekua na uwezo tungeanzisha kampeni dunia nzima kwa tunaompenda KING MESSI tuwe tunakatwa walau 10% ya mshahara uingie kwenye account yake. Angalia kama jana na ile El classico anapiga bao la 3 na mpira unaisha apo apo izo raha kiukweli ata mkeo nyumbani hawezi kukupa. Uyu jamaa angekua Tanzania hapa, ningeandika mkataba awe analala na mke wangu kwa mwezi mara 5.
Niko upande wa barcelona kuwazabua sevilla sababu walichezea chance kibao za kushinda mechi mapema sanaNdo nn sasa....sijakuelewa upo upande upi....
Niko upande wa barcelona kuwazabua sevilla sababu walichezea chance kibao za kushinda mechi mapema sana
Aiseeeee hayo maoni ya mwisho yanatisha,upo Kivule sehemu gani nikutembelee tu!!MAONI KUTOKA KIVULE JUU YA MATCH YA JANA
1. Ni wakati wa Denis Suarez kuanza kikosi cha kwanza, kama ad Paulinho na uzito wake anaanza kikosi cha kwanza basi ni wakati wa Paulinho kumuachia nafasi Denis Suarez. Jana aliupiga mpira mwingi mno ad nkabaki nimeduwaa ndo huyu ambae hajacheza zaidi ya miezi 2 au naota. Na nadhani uyu ndio mrithi sahihi wa Neymar akiaminiwa.
2. Upande wa kulia Sergi Roberto na Dembele hawaelewani kabisa, naonaga mara nyingi mno Sergi akikimbia na mpira upande wa kulia naona anakua peke yake na Dembele haji kumpa support anaingia sana ndani badala asogee pembeni ili wacheze na Sergi Roberto
3. Upande wa kushoto nao asipocheza Iniesta tunayumba sana, akianza Coutinho na Alba, Alba akishika mpira haoni wa kumpasia badala Coutinho aje wacheze yeye anakimbilia mbele nadhani Iniesta inabidi azidi kumpa darasa Coutinho au tumbadili Coutinho awe anacheza 11 na tusimtegemee kama ni mrithi wa Fundi wa mpira Midfielder Maestro Andres Iniesta
4. Umtiti jana kayumba sana nadhani ni bahati mbaya na hakuna kila mchezaji anacheza vizuri kila match. Namkubali sana Umtiti na pass zake ruler na sijawahi muona akibutua ukija vibaya unaminywa alafu anapiga pass zake ruler zenye macho
5. Naumia sana tunaua kiwango cha Sergi Roberto kumchezesha number 2 kila siku akati huyu jamaa akiwa midfielder mie roho yangu inasuuzika sana mana ana kasi na anajua sana kupandisha timu uyu jamaa.
6. Barcelona na timu ya taifa ya Argentina bila ya KING MESSI haiwezekani, uyu MESSI uyu anatudai hela nyingi sana na ningekua na uwezo tungeanzisha kampeni dunia nzima kwa tunaompenda KING MESSI tuwe tunakatwa walau 10% ya mshahara uingie kwenye account yake. Angalia kama jana na ile El classico anapiga bao la 3 na mpira unaisha apo apo izo raha kiukweli ata mkeo nyumbani hawezi kukupa. Uyu jamaa angekua Tanzania hapa, ningeandika mkataba awe analala na mke wangu kwa mwezi mara 5.
kabisa ,After yesterday's game it became evident that Barca is heavily dependent on Messi...the team needs to start working on a strategy and introduce some young talent from the academy to replica Messi after his retirement...Inasikitisha sana siku Messi akiondoka Barca. Kabla hajaingia, Barca ilikuwa ya kawaida na kama seville wanhekuwa watulivu, wangepiga hata 5. Messi kaingia ndio timu ya Barca ikaanza kucheza. Ni aibu sana kwa wachezaji wote wa Barcelona kubebwa na mchezaji mmoja
AIBU na Barca bila Messi ni timu ya kawaida sana, hii imejionyesha mara kadhaa kama hachezi, huwa wanazidiwa.
Pia nafikiri hofu ya timu zingine juu ya Messi, uwepo wake uwanjank unawatia hofu. Asipokuwepo wanacheza mpira.
Najua umeandika kwa furaha, mke si wa kushea!MAONI KUTOKA KIVULE JUU YA MATCH YA JANA
1. Ni wakati wa Denis Suarez kuanza kikosi cha kwanza, kama ad Paulinho na uzito wake anaanza kikosi cha kwanza basi ni wakati wa Paulinho kumuachia nafasi Denis Suarez. Jana aliupiga mpira mwingi mno ad nkabaki nimeduwaa ndo huyu ambae hajacheza zaidi ya miezi 2 au naota. Na nadhani uyu ndio mrithi sahihi wa Neymar akiaminiwa.
2. Upande wa kulia Sergi Roberto na Dembele hawaelewani kabisa, naonaga mara nyingi mno Sergi akikimbia na mpira upande wa kulia naona anakua peke yake na Dembele haji kumpa support anaingia sana ndani badala asogee pembeni ili wacheze na Sergi Roberto
3. Upande wa kushoto nao asipocheza Iniesta tunayumba sana, akianza Coutinho na Alba, Alba akishika mpira haoni wa kumpasia badala Coutinho aje wacheze yeye anakimbilia mbele nadhani Iniesta inabidi azidi kumpa darasa Coutinho au tumbadili Coutinho awe anacheza 11 na tusimtegemee kama ni mrithi wa Fundi wa mpira Midfielder Maestro Andres Iniesta
4. Umtiti jana kayumba sana nadhani ni bahati mbaya na hakuna kila mchezaji anacheza vizuri kila match. Namkubali sana Umtiti na pass zake ruler na sijawahi muona akibutua ukija vibaya unaminywa alafu anapiga pass zake ruler zenye macho
5. Naumia sana tunaua kiwango cha Sergi Roberto kumchezesha number 2 kila siku akati huyu jamaa akiwa midfielder mie roho yangu inasuuzika sana mana ana kasi na anajua sana kupandisha timu uyu jamaa.
6. Barcelona na timu ya taifa ya Argentina bila ya KING MESSI haiwezekani, uyu MESSI uyu anatudai hela nyingi sana na ningekua na uwezo tungeanzisha kampeni dunia nzima kwa tunaompenda KING MESSI tuwe tunakatwa walau 10% ya mshahara uingie kwenye account yake. Angalia kama jana na ile El classico anapiga bao la 3 na mpira unaisha apo apo izo raha kiukweli ata mkeo nyumbani hawezi kukupa. Uyu jamaa angekua Tanzania hapa, ningeandika mkataba awe analala na mke wangu kwa mwezi mara 5.
Nakaa Kivule Matembele ya pili mkuu, vipi nawe wa uko uko?Aiseeeee hayo maoni ya mwisho yanatisha,upo Kivule sehemu gani nikutembelee tu!!
Habari ya Pasaka mkuu, mke kweli sio wa kushea ila nikiskia kuna mtu kama Messi ananiibia mke wangu inabidi tu ukae kimya mkuu ila wengine wa mtaani aseee watakuja kunibeba na mafuso na ma helicpter kwa uo mziki wake.Najua umeandika kwa furaha, mke si wa kushea!
Loooh!!!! Tunaweza tukawa tunapigana vikumbo kabisa kila siku!!Nakaa Kivule Matembele ya pili mkuu, vipi nawe wa uko uko?
Niko upande wa barcelona kuwazabua sevilla sababu walichezea chance kibao za kushinda mechi mapema sana
Loooh!!!! Tunaweza tukawa tunapigana vikumbo kabisa kila siku!!
Haahaaaa sevilla jana waliwapeleka sana ila mastraika wao butu kabisa ilitakiwa mlazwe kama 7Mtani wangu vipi banaa..si useme tu ukweli 😀😀😀
Haahaaaa sevilla jana waliwapeleka sana ila mastraika wao butu kabisa ilitakiwa mlazwe kama 7
Ila kiukweli kwa mechi ya jana nimefunga rasmi mjadala wa nani mkali kati ya messi na christiano

Haahaaaa sevilla jana waliwapeleka sana ila mastraika wao butu kabisa ilitakiwa mlazwe kama 7
Ila kiukweli kwa mechi ya jana nimefunga rasmi mjadala wa nani mkali kati ya messi na christiano