FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

halafu suarez kutaka kupiga freekick zote wakati mguu wake hauna macho messi hakiwa hayupo huu ni upimbi wakati mtaalamu coutinho yupo
Daaaah mwenyew nilichukia jana. Sijui kocha anawaza nini japo kuna muda nimemuona Dembele akipiga
 
Hatuko vizuri kwenye penalty
IMG_20180401_114328_506.jpg
 
Huwa simutofautishagi huyo dogo na Isco Alarcon
Dogo aliwiki sana under 21 kama Asensio. Mwenzake anapata namba na kuendelea kuwika kwa sababu anapata chances za kucheza huku sisi tukichezea kipaji kikubwa. Napendekeza mechi zijazo wawe wanacheza nusunusu na Paulinho, Dennis akianza.
 
Sijaamini macho yangu. Nilizima tv yangu dk 85 nikijua tushalala. Asubuhi nikaamkia church sasa ndio nawasha simu nakuta game iliisha 2-2. King na animal wate ndani ya score shit. Unbeaten record still stands.

Dada yangu everlenk ulipotea sana. What happened hata kule kwa mashetani wekundu sikuoni.

Nakutakia heri ya sikukuu ya pasaka.
 
Dogo aliwiki sana under 21 kama Asensio. Mwenzake anapata namba na kuendelea kuwika kwa sababu anapata chances za kucheza huku sisi tukichezea kipaji kikubwa. Napendekeza mechi zijazo wawe wanacheza nusunusu na Paulinho, Dennis akianza.
Angekuwa bado yupo kwa villareall angeitwa national team kama Rodrigo Hernandez
 
Sijaamini macho yangu. Nilizima tv yangu dk 85 nikijua tushalala. Asubuhi nikaamkia church sasa ndio nawasha simu nakuta game iliisha 2-2. King na animal wate ndani ya score shit. Unbeaten record still stands.

Dada yangu everlenk ulipotea sana. What happened hata kule kwa mashetani wekundu sikuoni.

Nakutakia heri ya sikukuu ya pasaka.
Yaani ilikuwa kama muujiza fulani hivi...
 
Don’t forget that when the clock struck 88 minutes Barcelonawere still2-0 down, 55 seconds later it was2-2. Incredible.
 
Messi destroyed another team with a white jersey. First it was Madrid, then Chelsea n now Seville.
[HASHTAG]#Salam[/HASHTAG] ziwafikie ROMA
Inasikitisha sana siku Messi akiondoka Barca. Kabla hajaingia, Barca ilikuwa ya kawaida na kama seville wanhekuwa watulivu, wangepiga hata 5. Messi kaingia ndio timu ya Barca ikaanza kucheza. Ni aibu sana kwa wachezaji wote wa Barcelona kubebwa na mchezaji mmoja
AIBU na Barca bila Messi ni timu ya kawaida sana, hii imejionyesha mara kadhaa kama hachezi, huwa wanazidiwa.
Pia nafikiri hofu ya timu zingine juu ya Messi, uwepo wake uwanjank unawatia hofu. Asipokuwepo wanacheza mpira.
 
Inasikitisha sana siku Messi akiondoka Barca. Kabla hajaingia, Barca ilikuwa ya kawaida na kama seville wanhekuwa watulivu, wangepiga hata 5. Messi kaingia ndio timu ya Barca ikaanza kucheza. Ni aibu sana kwa wachezaji wote wa Barcelona kubebwa na mchezaji mmoja
AIBU na Barca bila Messi ni timu ya kawaida sana, hii imejionyesha mara kadhaa kama hachezi, huwa wanazidiwa.
Pia nafikiri hofu ya timu zingine juu ya Messi, uwepo wake uwanjank unawatia hofu. Asipokuwepo wanacheza mpira.
Mkuu usijali ni kwasababu messi yupo,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom