Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,993
wakuu mnamuelewa huyu mjinga🙂babu kaniambia kwamba barca OUT.
iwe mvuaa au jua au theluji..
BARCA OUT.
wakuu mnamuelewa huyu mjinga🙂babu kaniambia kwamba barca OUT.
iwe mvuaa au jua au theluji..
BARCA OUT.
Hakika unafanana na jina lako!babu kaniambia kwamba barca OUT.
iwe mvuaa au jua au theluji..
BARCA OUT.
wakuu mnamuelewa huyu mjinga🙂
ninyi tulieni tuombe uzima.Hakika unafanana na jina lako!

nilitabiri Madrid ingemfunga PSG.wakuu mnamuelewa huyu mjinga🙂
Mwenyezi Mungu ni Mkubwa kuliko wewe, atakuumbua leonilitabiri Madrid ingemfunga PSG.
nilitabiri juventus itamfunga spurs
nilitabiri arsenal itamfunga ac Milan
na leo natabiri Chelsea itamfunga barca.
iwe ndani ya 90,au ndani ya 120 au matuta.
barca OUT.
Tuma picha tuonebarcelona. OUT.
no discussion.
hao weupe tu mbona.Tuma picha tuone
kila la kheriWewe shamba boy utabiri wako huo wa kishoga kaufanye na bibi yako kwenu
Your name says it all!barcelona. OUT.
no discussion.
tukutane uwanjani relaxYour name says it all!
Wewe jamaa umeshupaliaaaa, tusha kusikia sasa tusubiri mda ndio utasema.tukutane uwanjani relax
Leteni million 200 tuwauzie Mo Salah, maana sikuhizi Liverpool imekuwa academy ya Barca.Unadhani nani atatufaa zaidi kwenye left wing?
Anafaaa zaidi mchezaji anae tumia mguu wa kuume mkuuLeteni million 200 tuwauzie Mo Salah, maana sikuhizi Liverpool imekuwa academy ya Barca.
Mimi Chelsea.ila kwa sasa nimepumzika kuishabikia.Wewe jamaa umeshupaliaaaa, tusha kusikia sasa tusubiri mda ndio utasema.
Pia wewe unaonekana ni shabiki wa Madrid + United+ Juve kwahiyo Mawazo yako au maneno yako huenda yakawa ya kishabiki sana. Kama umeota haya basi tusubiri mda ufike tushakusikia
Wewe kama nani ?shabiki la Madrid hili unadhani ataitakia mema Barcelona ?go to hell leo Fc Barcelona 3-Chelsea 0nilitabiri Madrid ingemfunga PSG.
nilitabiri juventus itamfunga spurs
nilitabiri arsenal itamfunga ac Milan
na leo natabiri Chelsea itamfunga barca.
iwe ndani ya 90,au ndani ya 120 au matuta.
barca OUT.
We msichana una blessings nyingi kwa BarcaView attachment 714452
This is what's going to happen tonight. Fucker Uefalona