FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hii cross ya Jordi Alba hata Humphrey Polepole angefunga!

Huyu Dembele next season hela tuliyomnunulia mtaiona ndogo sana!

Huyu Coutinho amezidisha ukatili. Huu unyanyasaji watu wa Human rights wakiuona italeta tabu!



I'm happy the boys are performing!
 
Jamani nimetumwa niwatangazie kuhusu Arthur (literally simjui)
Ila makubaliano(agreement) yako tayari so ni mchezaji wetu halali nilisikiaga kuhusu huyu jamaa ni fire
 
Screenshot_2018-03-11-15-14-17.png

Huyu hapa....
 
Nasoma tetesi mitandaoni apa wanadai Griezman yuko mbioni kutua Barcelona. Kuongea ukweli mi sijawahi mkubali Griezman kwa upande wangu naona kama anakuzwa sana naonaga wa kawaida tu. Naangalia match nyingi zake ila naonaga anajua mpira ila wa kawaida tu, kama match iliyopita na Barcelona sijaona chochote alichofanya cha maana. Kwa upande wangu mie sijaona umuhimu wake kuja Barcelona.
 
Unayumba wewe kusema Gr7 hajui kwaiyo unataka tubaki na paco au?
Umeshinda mkuu, kila mtu na maoni yake ndo mana nikasema ayo ni maoini yangu. Tuko apa kujadili kila mtu na maoni yake sio kutafuta nani mshindi kwa lugha unazotumia. Ilipaswa kusema tu mi kwa upande wangu namkubali mno GR7 kwasababu hizi na hizi na mtu anapima hoja zako kama za msingi ata mie naweza kubadilika kutoka kutokua na imani nae ad kua na imani ane.
 
Nasoma tetesi mitandaoni apa wanadai Griezman yuko mbioni kutua Barcelona. Kuongea ukweli mi sijawahi mkubali Griezman kwa upande wangu naona kama anakuzwa sana naonaga wa kawaida tu. Naangalia match nyingi zake ila naonaga anajua mpira ila wa kawaida tu, kama match iliyopita na Barcelona sijaona chochote alichofanya cha maana. Kwa upande wangu mie sijaona umuhimu wake kuja Barcelona.
Unadhani nani atatufaa zaidi kwenye left wing?
 
Nasoma tetesi mitandaoni apa wanadai Griezman yuko mbioni kutua Barcelona. Kuongea ukweli mi sijawahi mkubali Griezman kwa upande wangu naona kama anakuzwa sana naonaga wa kawaida tu. Naangalia match nyingi zake ila naonaga anajua mpira ila wa kawaida tu, kama match iliyopita na Barcelona sijaona chochote alichofanya cha maana. Kwa upande wangu mie sijaona umuhimu wake kuja Barcelona.
Braza unapotoka
Nakushauri upate muda wa kumuangalia Griezman zaid na zaid he is a baller
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom