Dooh! mkuu Mess yupo vizuri kila idara mana ata watoto anatoa dabo dabo tu... sema leo afanye kweli bhn mana hasimu wake huko kishawakaWakuu leo Messi amepata mtoto anaitwa baby "Cyprus " so he is so happy and excited sisi fans kama kawaida yetu atatulipa uwanjani game ya leo
Nilipitwa na taarifa leo hatocheza yuko na mambo binafsiDooh! mkuu Mess yupo vizuri kila idara mana ata watoto anatoa dabo dabo tu... sema leo afanye kweli bhn mana hasimu wake huko kishawaka
Aisee alitakiwa awepo kabisaNilipitwa na taarifa leo hatocheza yuko na mabo binafsi
Ronaldo has scored brace today,messi amealibiwa sikuNilipitwa na taarifa leo hatocheza yuko na mabo binafsi
Ronaldo asipo score hali na ataambulia kutukanwa na madriodiots wenzake so muache akamilishe mkono uende mdomoniRonaldo has scored brace today,messi amealibiwa siku
Msifie tu jamaa kwani unakosa nn?Ronaldo asipo score hali na ataambulia kutukanwa na madriodiots wenzake so muache akamilishe mkono uende mdomoni
Ronaldo asipochukua kiatu cha laliga naacha kumshabikia tena maisha yangu yoteRonaldo asipo score hali na ataambulia kutukanwa na madriodiots wenzake so muache akamilishe mkono uende mdomoni
Mchezaji hata kupiga assist hawezi yeye kama robot anasubiria tu mipira kwenye box labda niwe na kilema cha akiliMsifie tu jamaa kwani unakosa nn?
Mchezaji hata kupiga assist hawezi yeye kama robot anasubiria tu mipira kwenye box labda niwe na kilema cha akili
Sio wivu am conscious![]()
![]()
![]()
![]()
Jamaa una wivu kishenzi
HayaSio wivu am conscious
Umerud Kongo?nasikia umekuja na vumbi la mundende...Haya
Msimu huu nakosa cha kuwaponda kwa kweli
Ngoja hizi nguvu nizielekeze sehem nyingine tuu
Umerud Kongo?nasikia umekuja na vumbi la mundende...
Ndio ni leo mkuu SAA 22:45nilijua game kesho kumbe leo?