Mkuu hii ni uhakika, mimi siamgalii historia kama wewe.Mechi bado hiyo ukumbuke aliwah kufa kadude pale na ukikumbuka mechi nyingi za mtoano barca kavuka kwa agriget akikutana na chelsea ila chelsea mechi mbili kamuosha bila agriget kwa matokeo ya leo na mwenendo wa chelsea bora kukaaa kimya tu mkuu
Mkuu hii ni uhakika, mimi siamgalii historia kama wewe.
Ukiweza save haya maneno yangu tukutane camp nou.
Nimerudi.... dah!
Piga takataka hizi. L Suarez vipi leo?
Nasikitika hapa sina access ya kuangalia live. Naumia sana kutomwangalia mtakatifu wa mpira... mtakatifu Messi
wameniboa sana, dogo kakaa tu nje, kuna mda alianza kula tizi pale nje nikajua anaingia kumbe No
Umaziaji bado tuko poor kabisa
Camp nou lazima wafunguke kutafuta goli, hapo ndio watachezea koki vizuri mpaka waloe!
Otherwise, bado nalaum kwanini hatupigi from outside the box.
Pia defense imerudia kosa moja mara tatu. Kumuacha free willian eneo la hatari. Kagonga mwamba Mara mbili mwisho wa siku akaweka!
Inabidi waache kukabia macho.
Pique ameupiga mwingi sana, Suarez amekabwa sana, Iniesta amewaunlock sana.
We have an advantage!
Adios amigo
Naona wamekaaIlikuwa kipindi drogba ana majuju yake kutoka Ivory coast yaliyomrostisha hadi Fernando Torres but this time ni tik taka la kikatalonia na la masia hawa watoto wa mtaani wanaoishi chini ya madaraja wanakaa mapema sana.
Yako wapi hayo magoli.?Amini nakuambia kuwa Leo mechi ina goal 3+
Hakua mchezoni alikua anaangalia Black PantherNimerudi.... dah!
Piga takataka hizi. L Suarez vipi leo?
Badala ya kuwa mwekundu utakua mweusi kwa kuto amini kitakacho tokea. Amin nakuambia camp nou unafungika na ubovu huu wangu.Wazee leo inatosha tumegawana point we are still invincible
Game ya home Chelsea atalala goli 4 ndio mwanzo wakulichua UEFA mwaka huu
One chance one goal vp chalsea walocreate hzo chance zaidi ya moja na goli ni moja, sasa hapo ni nani wa kuhofiwa mkuu?Una create one chance ya kufunga kwa dk 90 then unasema utawafunga nyingi nou camp? Nyie mtamiliki mpira ila safari imewadia
Kuhusu kumiliki mpira ,Chelsea hata hawezi kuizua arsenal kucheza mpira ndio haizuie barca kucheza mpira ndio maana jana wakati mnamiliki possession sikuona jipya.One chance one goal vp chalsea walocreate hzo chance zaidi ya moja na goli ni moja, sasa hapo ni nani wa kuhofiwa mkuu?
Possesion haitupi kiburi kua ndio silaha ya kuwafunga pale camp nou ila kinachotupa moyo ni kwamba pale camp utahitaji upate goli kwahyo itakulazimu ufunguke na ukishafunguka sasa ndio tutapata mwanya wa kukupiga vizuri.....Kuhusu kumiliki mpira ,Chelsea hata hawezi kuizua arsenal kucheza mpira ndio haizuie barca kucheza mpira ndio maana jana wakati mnamiliki possession sikuona jipya.
Nashangaa mnapojipa moyo mtashinda nyingi wakati kwa kuangalia possession bila kuangalia uwezo wenu wa kucreate goal chances
Huyu jamaa siku hizi anafanya vizuri sana sina mashakanaeIla pique ame perform vizuri mno kuliko bigsam
Kwamba viuno vya shakira vilikuwa vinapunguza performanceHuyu jamaa siku hizi anafanya vizuri sana sina mashakanae
Heheh!! Nahisi ilikua hivyo ila sasa hv kishayazoeaKwamba viuno vya shakira vilikuwa vinapunguza performance