FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Halafu kama niliota Coutinho atachezeshwa left quadrant kule
Nimemsikia kocha anamzungumzia kama ana self-confidence kubwa




kuna muda kijana alikuwa akishika mpira nahis messii alikuwa akitabasamu sana ndani ya moyo wake akisema sasa nimepata kijana wa kupeana nae majukumu ngoja nianze kuvizia kama mmorocco nifunge goli 90 kwa msimu maana yule mjanja alikuwa anacheza kimagumashi tu....
 
kuna muda kijana alikuwa akishika mpira nahis messii alikuwa akitabasamu sana ndani ya moyo wake akisema sasa nimepata kijana wa kupeana nae majukumu ngoja nianze kuvizia kama mmorocco nifunge goli 90 kwa msimu maana yule mjanja alikuwa anacheza kimagumashi tu....

Neymar au.....?
 
hao pundits wanazingua gaucho ilifaa ndo awe mwanasoka bora wa miaka yote
Angekuwa mwanasoka bora wa muda wote ingekuwa ni kichekesho huwezi kuwa na mwanasoccer bora ambaye ukimbiwa umlinganisha na neymar kwa goals kuanzia Barca,PSG,na Brazil kote kapitwa mbali na neymar hata kwa enterteiment football neymar yupo vizuri tu na kwa statistics gaucho hamugusi neymar,Cr7 ,Na Messi sasa uchezaji wake bora ungekuwa na mantiki gani?

Chunguza usiwe brainwashed na media zinazo mu ovvarrate gaucho .

Gaucho hana record yeyote aliyoiacha katika soccer lakini messi na Cr7 wana record ambazo zitachukua mda mrefu kufutika shituka toka gizani mkuu.
 
Angekuwa mwanasoka bora wa muda wote ingekuwa ni kichekesho huwezi kuwa na mwanasoccer bora ambaye ukimbiwa umlinganisha na neymar kwa goals kuanzia Barca,PSG,na Brazil kote kapitwa mbali na neymar hata kwa enterteiment football neymar yupo vizuri tu na kwa statistics gaucho hamugusi neymar,Cr7 ,Na Messi sasa uchezaji wake bora ungekuwa na mantiki gani?

Chunguza usiwe brainwashed na media zinazo mu ovvarrate gaucho .

Gaucho hana record yeyote aliyoiacha katika soccer lakini messi na Cr7 wana record ambazo zitachukua mda mrefu kufutika shituka toka gizani mkuu.
Ndiyo mwanasoka pekee mwenye tuzo 6 katika soka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom