vous
JF-Expert Member
- Dec 15, 2017
- 657
- 649
AnachafuaMnao angalia mpira, naombeni ripoti ya coutinho wakuu.
AnachafuaMnao angalia mpira, naombeni ripoti ya coutinho wakuu.
DahMnao angalia mpira, naombeni ripoti ya coutinho wakuu.
Chenga zimepigwa, pasi zimepigwa, kujipozisheni anajua....heri mtu yule asiye na mashaka naye.Mnao angalia mpira, naombeni ripoti ya coutinho wakuu.
Kesho ntajisogeza YouTubeDah
Dogo anawachafua espanyol
Ngoja nilale sasa kwa amaniGame over Barcelona 2-0 Espanyol
Jamaaa wagumu....kweli hii ni derby
Tumeshaingia nusu fainali mwaka wa treble huu
Ha ha ha wapi kaka Penaldo
HahahahaChenga zimepigwa, pasi zimepigwa, kujipozisheni anajua....heri mtu yule asiye na mashaka naye.
Ana control na anapiga penetrating passes kibao naona uwanja ulikua unatapikaIniesta baada ya kumuona Coutinho atakuwa kasema. Bwana sasa unaweza muacha mtumishi wako apumzike kwa amani.
Safi sana, ntamwangalia you tubeChenga zimepigwa, pasi zimepigwa, kujipozisheni anajua....heri mtu yule asiye na mashaka naye.
Amepiga kandanda safi. Itakuwa kama Messi. Kila muda unatamani awe na mpira.wangetupa tu hizi domestic cups kuliko kupotezeana muda.Ana control na anapiga penetrating passes kibao naona uwanja ulikua unatapika
Na anan'gang'ania mpira/possesive. Hii ni sifa muhimu sana kwa mchezaji wa Barca. Hii debut ya Coutinho imenifurahisha sana.Ana control na anapiga penetrating passes kibao naona uwanja ulikua unatapika
HahahahaahaaaHuyu refa naona katupa kadi za magumashi. Hasa ya Messi na Paulinho. Wamemkosoa kidogo katoa kadi, utafikiri Rais wa nchi fulani.
Mngese sana huyu refarii, huwaga namfuatilia sana ktk games mbalimbali. Ana ukauzu flani hivi usiofaaa!!!!Hahahahaahaaa
Thanks mkuu