FBI wakamilisha taratibu za kuchukua misikiti minne na jengo la ofisi - Manhattan,USA

BabuK

JF-Expert Member
Jul 30, 2008
1,845
329
Kuna breaking news za juhudi za FBI uchukua misikiti hio minne na jengo la Ofisi vilivyoko jijini Manhattan, USA. Misikiti na jengo hilo vinamilikiwa na NGO iitwao Al Alavi Foundation inayofadhiliwa na Iran. Juhudi hizo ni pamoja na kukamata akaunti za Alavi.
 
Kuna breaking news za juhudi za FBI uchukua misikiti hio minne na jengo la Ofisi vilivyoko jijini Manhattan, USA. Misikiti na jengo hilo vinamilikiwa na NGO iitwao Al Alavi Foundation inayofadhiliwa na Iran. Juhudi hizo ni pamoja na kukamata akaunti za Alavi.

Hii yote imetokana na kuzorota kwa Uhusiano kati ya Serikali ya Iran na Marekani.....Kama wiki Mbili zilizopita Serikali ya USA imetaifisha karibu ekari 130 huko Arizona na Jengo moja mjini Houston,Vitu vyote hivyo ni mali za Organization za kiislamu zinazofadhiliwa na serikali ya Iran.
 
Labda USA inatafuta leverage kwenye majadiliano na Iran ( kama yatakuwepo). Kukamatwa kwa misikiti na jengo la Ofsi kumefanywa na kitengo cha FBI cha kuzuia ugaidi.
 
Hii ndio dawa yao.

Sasa waende kuifunga na ile ya pale Atlantic Avenue, Bklyn. Kukamilisha safu.
 
Na hii issue ya Nidal Malik Hasan ndio itaongezea moto wao wa kufanya hizi crackdown.
 
FBI inampango wa kuwafilisi Waislamu; na mpango mwengine ni kuwakamatwa Waislamu. Nazi na Hitler walianza hivi hivi.

U.S. alleges company laundered money for Iran

November 12, 2009 6:42 p.m. EST

story.mosque.ktrk.jpg

The U.S. government seeks forfeiture of at least three mosques, including this one in Houston, Texas.



STORY HIGHLIGHTS
  • Alavi Foundation, Assa Corp. accused of transferring money to Iran
  • U.S. Attorney: "Alavi Foundation has effectively been a front for the government of Iran"
  • Companies own 3 mosques, have interest in New York skyscraper
  • U.S. wants company to forfeit the mosques and skyscraper


RELATED TOPICS
New York (CNN) -- The federal government said Thursday it is seeking forfeiture of properties belonging to the Alavi Foundation and Assa Corp. -- accused of transferring money to a bank owned by the Iranian government -- including a Manhattan skyscraper and at least three mosques.
Preet Bharara, the U.S. attorney for the Southern District of New York, announced Thursday's filing of an amended civil complaint seeking forfeiture of the Alavi Foundation's interest in the 36-story office tower located on Fifth Avenue in Midtown Manhattan.
The building is owned by 650 Fifth Avenue Company, a partnership between the Alavi Foundation and Assa Corp., the Justice Department said in a news release. The amended complaint alleges that the Alavi Foundation provided services to the Iranian government and transferred money from 650 Fifth Avenue Company to Bank Melli, which is owned and controlled by the government of Iran.
The amended complaint seeks forfeiture of all assets of the Alavi Foundation and Assa Corp., including bank accounts owned by 650 Fifth Avenue Company, the Alavi Foundation and Assa Corp.; and properties owned by the foundation in New York, Maryland, Virginia, Texas and California.
It alleges that the properties were "involved in and [were] the proceeds of money laundering offenses," and that the owners violated the International Emergency Economic Powers Act, executive orders and U.S. Department of Treasury regulations.
"As today's complaint alleges in great detail, the Alavi Foundation has effectively been a front for the government of Iran," Bharaha said. "For two decades, the Alavi Foundation's affairs have been directed by various Iranian officials, including Iranian ambassadors to the United Nations, in violation of a series of American laws. The Alavi Foundation's former president remains under investigation for alleged obstruction of justice, and both the criminal and civil investigations are ongoing."
Calls to a lawyer representing the Alavi Foundation were not immediately returned.
Relations between Iran and much of the international community have been tense over Iran's nuclear ambitions. Iran has said it wants to develop its nuclear program solely for peaceful purposes; the United States and a number of other countries have said they suspect the oil-rich nation is pursuing a nuclear bomb.
In another U.S.-Iran development, President Obama said Thursday in a letter to Congress that the national emergency with respect to Iran that was declared in 1979 during the Iranian revolution has not ended.
"Our relations with Iran have not yet returned to normal, and the process of implementing the January 19, 1981, agreements with Iran is still under way," Obama wrote in an official "notice of continuation" required to extend the emergency status with Iran beyond the anniversary date of November 14. "For these reasons, I have determined that it is necessary to continue the national emergency declared on November 14, 1979, with respect to Iran, beyond November 14, 2009."
 
U.S. alleges company laundered money for Iran

November 12, 2009 -- Updated 2342 GMT (0742 HKT)

story.mosque.ktrk.jpg

The U.S. government seeks forfeiture of at least three mosques, including this one in Houston, Texas.


New York (CNN) -- The federal government said Thursday it is seeking forfeiture of properties belonging to the Alavi Foundation and Assa Corp. -- accused of transferring money to a bank owned by the Iranian government -- including a Manhattan skyscraper and at least three mosques.
Preet Bharara, the U.S. attorney for the Southern District of New York, announced Thursday's filing of an amended civil complaint seeking forfeiture of the Alavi Foundation's interest in the 36-story office tower located on Fifth Avenue in Midtown Manhattan.
The building is owned by 650 Fifth Avenue Company, a partnership between the Alavi Foundation and Assa Corp., the Justice Department said in a news release. The amended complaint alleges that the Alavi Foundation provided services to the Iranian government and transferred money from 650 Fifth Avenue Company to Bank Melli, which is owned and controlled by the government of Iran.
The amended complaint seeks forfeiture of all assets of the Alavi Foundation and Assa Corp., including bank accounts owned by 650 Fifth Avenue Company, the Alavi Foundation and Assa Corp.; and properties owned by the foundation in New York, Maryland, Virginia, Texas and California.
It alleges that the properties were "involved in and [were] the proceeds of money laundering offenses," and that the owners violated the International Emergency Economic Powers Act, executive orders and U.S. Department of Treasury regulations.
"As today's complaint alleges in great detail, the Alavi Foundation has effectively been a front for the government of Iran," Bharaha said. "For two decades, the Alavi Foundation's affairs have been directed by various Iranian officials, including Iranian ambassadors to the United Nations, in violation of a series of American laws. The Alavi Foundation's former president remains under investigation for alleged obstruction of justice, and both the criminal and civil investigations are ongoing."
Calls to a lawyer representing the Alavi Foundation were not immediately returned.
Relations between Iran and much of the international community have been tense over Iran's nuclear ambitions. Iran has said it wants to develop its nuclear program solely for peaceful purposes; the United States and a number of other countries have said they suspect the oil-rich nation is pursuing a nuclear bomb.
In another U.S.-Iran development, President Obama said Thursday in a letter to Congress that the national emergency with respect to Iran that was declared in 1979 during the Iranian revolution has not ended.
"Our relations with Iran have not yet returned to normal, and the process of implementing the January 19, 1981, agreements with Iran is still under way," Obama wrote in an official "notice of continuation" required to extend the emergency status with Iran beyond the anniversary date of November 14. "For these reasons, I have determined that it is necessary to continue the national emergency declared on November 14, 1979, with respect to Iran, beyond November 14, 2009."
 
Obama yupo kama Bush tu. Vitu vidogo wanapanic, na kuescalate the issue. Hizi ndizo mistake alizofanya Bush, na naona Obama anafanya vilevile. Kazi kwao, wasichezee Misikiti, nyumba za Mwenyezi Mungu zenye wafuasi wa Ukweli.
 
Obama yupo kama Bush tu. Vitu vidogo wanapanic, na kuescalate the issue. Hizi ndizo mistake alizofanya Bush, na naona Obama anafanya vilevile. Kazi kwao, wasichezee Misikiti, nyumba za Mwenyezi Mungu zenye wafuasi wa Ukweli.

Kumbe allah anaishi kwenye Misikiti !
 
Hii ndio dawa yao.

Sasa waende kuifunga na ile ya pale Atlantic Avenue, Bklyn. Kukamilisha safu.

Hata kama wataichukuwa Misikiti yote ya amerika hawataweza kuizuia dini ya Kiislam, Dini itabaki hivyo hivyo Dini inakuwa ndani ya imani za watu Misikiti ndipo mahali pa kuenda kufanya ibada
9.Surat At-Tawba
32. Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia. 32

33. Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki ipate kushinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia. 33

Wawakamate waliofanya makosa na waliohusika Sio kuichukuwa Misikiti, Misikiti ni mahali pa Waislam wanapofanyia ibada kuichukuwa Misikiti ni kama kuwakataza waislam wasifanye ibada zao watashindwa tu Na Mwenyeezi Mungu hawaongozi watu Madhalimu
 
Hata kama wataichukuwa Misikiti yote ya amerika hawataweza kuizuia dini ya Kiislam, Dini itabaki hivyo hivyo Dini inakuwa ndani ya imani za watu Misikiti ndipo mahali pa kuenda kufanya ibada
9.Surat At-Tawba
32. Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia. 32

33. Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki ipate kushinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia. 33

Wawakamate waliofanya makosa na waliohusika Sio kuichukuwa Misikiti, Misikiti ni mahali pa Waislam wanapofanyia ibada kuichukuwa Misikiti ni kama kuwakataza waislam wasifanye ibada zao watashindwa tu Na Mwenyeezi Mungu hawaongozi watu Madhalimu

Hiyo misikiti ndo inayohifadhi hao makafir, hampo kuleta maendeleo, mpo kugombana tuuu, mna vichwa gani nyie?? mko sawa kweli?? Uislam unakufundisha uue binadamu ili eti ukapatiwe vibinti huko ahera?
 
Hii ndio dawa yao.

Sasa waende kuifunga na ile ya pale Atlantic Avenue, Bklyn. Kukamilisha safu.

Kama misikiti inatumika kubrainwash waumini na kurecruit ma terrorist it is about time. Waangalia upya na sera yao ya kurecruit wanajeshi.
 
Hiyo misikiti ndo inayohifadhi hao makafir, hampo kuleta maendeleo, mpo kugombana tuuu, mna vichwa gani nyie?? mko sawa kweli?? Uislam unakufundisha uue binadamu ili eti ukapatiwe vibinti huko ahera?

Kafiri ni neno lilotoka ktk Qur-an kwa ajili yenu nyinyi Majahili. Naona utakuwa umeelewa.
 
Marekani sio nchi ya kidini na FBI wanayo haki ya kuchukua hatua yeyote kuhakikisha usalama wa WAMERAKANI. Wewe kama hutaki usiende kwao, nenda Saudia ambako kuna sehemu asiye Msilamu haruhusiwi kukanyaga.
 
Hii ndio dawa ya hawa watu. Hizi nyumba zote za kufugia majini ni vema zidhibitiwe. Hata hapa Tanganyika inabidi tufanye hivyo. Ipo siku nakwambia hata sisi utasikia tumefunga ile misikiti haramu ya hapa Dar inayo instigate fujo. Ni muda muafaka tu unaosubiriwa.
 
Kuna breaking news za juhudi za FBI uchukua misikiti hio minne na jengo la Ofisi vilivyoko jijini Manhattan, USA. Misikiti na jengo hilo vinamilikiwa na NGO iitwao Al Alavi Foundation inayofadhiliwa na Iran. Juhudi hizo ni pamoja na kukamata akaunti za Alavi.

Kuna kosa gani kupelekea kuchukua misikiti hiyo? Na wewe nawe unatupa habari nusunusu kama unakimbilia kuua nyoka! Embu tupo habari kamaili
 
Back
Top Bottom