FBI wakamilisha taratibu za kuchukua misikiti minne na jengo la ofisi - Manhattan,USA

MwanaFalsafa1
Tofautisha kati ya Saudi na USA. Saudi Arabia siyo USA. US ni nchi ya kila mtu. Saudi inahaki ya kufanya itakavyo kwa mujibu wa sheria wa zao.
 
What about the vise versa of it? Is it not the same thing?
The world will have muslims and christians..all the time ...kilichobaki ni kukubali kutika kutofautiana hii mambo ya kufungia misikiti, sijui kupiga mabomu watu ili wawe (wakristo) ni danganya toto..na siyo sustainable lol..elewa lugha rahis tu hiyo..
 
Kuna breaking news za juhudi za FBI uchukua misikiti hio minne na jengo la Ofisi vilivyoko jijini Manhattan, USA. Misikiti na jengo hilo vinamilikiwa na NGO iitwao Al Alavi Foundation inayofadhiliwa na Iran. Juhudi hizo ni pamoja na kukamata akaunti za Alavi.
duh
 
Ukitaka kujua tabia za JF weka mada ya dini. Watu wanaacha kuwa great thinkers wanavaa imani. Tujaribu kuangalia mambo bila hasira za kiimani wakuu, ndio ugreyt thingku huo. Itia hofu kwa kweli kkkkkhhhhaaaa!!!!
 
Nini point yako? US hawawezi kukataza Misikiti isijengwe. Kuna Waislamu more than Million 15 in US; baada ya muda tu kama miaka 100 utasikia Waislamu watakuwa majority in US, North America and Europe. Kazi kwenu haters..

Wacha longo longo wewe kuna 2.5 million Muslims in the U.S hii ni kutokana na report ya Pew Research Center iliyotoka October 8th 2009.
 
Nini point yako? US hawawezi kukataza Misikiti isijengwe. Kuna Waislamu more than Million 15 in US; baada ya muda tu kama miaka 100 utasikia Waislamu watakuwa majority in US, North America and Europe. Kazi kwenu haters..

Ni wapi US imesema kuwa Misikiti isijengwe? Mbona lugha inakuwa ngumu kwa Muham-madans?

Tatizo ni uhusiano wa Misikiti na siasa za uarabuni.

Misikiti na Siasa za Middle East? Explain more..
Ni wapi US imesema kuwa Misikiti isijengwe?
 
Lakini jamani si kuna nchi za kiislamu ambazo hata kujengwa makanisa hawa taki?

Uliza Somalia wanasema ni Ardhi 'takatifu' hata Mkristo akifa haruhusiwi kuzikwa katika ardhi ile. Huu 'utakatifu' sijui unawafikisha wapi!

Hawa jamaa nadhani lugha yao huitafsiri kwa aina wanayojua wenyewe, Mara vita vitakatifu, Mauaji matakatifu, ugaidi mtakatifu, pedophile takatifu, majini matakatifu, Nyumba ya ibada takatifu lakini ndani yake watu wanajifunza kutumia AK47..., Nadhani kuna haja ya kutafsiri neno takatifu maana inaelekea kuna watu wanaharibu na kupotosha maana yake.
 
The world will have muslims and christians..all the time ...kilichobaki ni kukubali kutika kutofautiana hii mambo ya kufungia misikiti, sijui kupiga mabomu watu ili wawe (wakristo) ni danganya toto..na siyo sustainable lol..elewa lugha rahis tu hiyo..

Unaona ambavyo jazba inafanya majibu yako kuonekana kituko? Sasa umeelewa kuwa the vise versa is the same.

Nani anapiga watu mabomu ili wawe Wakristo? Hebu tuwekee ushaidi ambao ni impeccable.
 
Uliza Somalia wanasema ni Ardhi 'takatifu' hata Mkristo akifa haruhusiwi kuzikwa katika ardhi ile. Huu 'utakatifu' sijui unawafikisha wapi!

Hawa jamaa nadhani lugha yao huitafsiri kwa aina wanayojua wenyewe, Mara vita vitakatifu, Mauaji matakatifu, ugaidi mtakatifu, pedophile takatifu, majini matakatifu, Nyumba ya ibada takatifu lakini ndani yake watu wanajifunza kutumia AK47..., Nadhani kuna haja ya kutafsiri neno takatifu maana inaelekea kuna watu wanaharibu na kupotosha maana yake.


Yaani ardhi imexidi utakatifu kiasi cha kuwakana Wakristo! Mkuu asante kwa kuleta uwazi.

Na huu ndio upendo na amani ya allah katika ulimwengu wa allah.
 
Wacha longo longo wewe kuna 2.5 million Muslims in the U.S hii ni kutokana na report ya Pew Research Center iliyotoka October 8th 2009.




Estimates of Muslim population in the US range from less than 8 million to nine million. The World Almanac 2001 states that there are about 8.8 million Muslims in the USA
1. One Muslim sociologist, however, after an exhaustive review of all the research regarding the number of Muslims in the US estimates that there are 8.7 million Muslims in the USA
2. William B. Milam the U.S. Ambassador to Pakistan states that there are eight million Muslims in America
3. The lowest numbers given are by the Kosmin study. According to its population survey essentially aimed at finding out the Jewish population of America, Muslims are only one percent of the population. Therefore, less than 8 million people in America today are Muslims
4.About 79% of all Muslims fall between the ages of 16 and 65. Muslims' average household size is 4.9 persons
5. A very significant part of the Muslim community in North America is in prison since 30% of all incarcerated African-Americans are Muslims who have accepted Islam in prison in the tradition of Malik Shabaz (Malcom X) and Imam Jamil Al-Amin (the former H. Rap Brown)
6. A little more than one percent of all US armed forces are also reportedly Muslims.Most Muslims live the major cosmopolitan areas of America. Twenty percent of all Muslims live in California, 16% in New York state, eight percent in Illinois, four percent in New Jersey and Indiana each, and about three percent in Michigan, Virginia, and Texas, and Ohio each
7. About two-thirds of all Muslims in the United States are immigrants and their descendants according to Yvonne Haddad and Adair T. Lummis
8. However, the American Muslim Council reports that 42% of all Muslims are African-Americans, 24% are of South Asian origin and 12% of Arab origin
9. The Jewish community, in comparison, has fewer than one-third immigrants or children of immigrants, a percentage similar to that of Italian-Americans
10. Muslims in Professions:
Professionally, Muslims in America are a versatile people. However, engineering and computers employ more than 10% of Muslims in America. Medicine-related fields engage eight percent of Muslims as compared to about four percent in the financial field. There are very few Muslims in businesses of their own
11. Muslims' Income:
There are no recent studies available about Muslim income level nationally. However, if an Illinois study is taken as representative of Muslims in America, Muslims have an average household income of $53,500. The average Arab Muslim family income is the highest at $69,000, while African-American Muslim families earn the least at $32,000 per year
12. In comparison, more than 41 percent of Jews report a household income of $75,000 or more, far above any other group surveyed
13. Islamic Centers and Organizations:There are about 3,000 small and large Islamic centers, mosques, and prayer locations in the US. This is kind of small considering one million Jehovah's Witnesses have 11,000 places of worship and five million Mormons who have 12,000 houses of worship. Islamic Education:There are about 200 Muslim schools, about 500 Sunday Islamic schools, and six schools of Islamic higher learning in America. Not more than three percent of Muslim children, however, acquire any formal Islamic schooling outside of their home, as compared to about 80% of American Jewish children who have attended Sunday school or other forms of Jewish educational programs
14. Practice of Islam: Shahadah: There is a significant growth of Islam through new persons accepting Islam in America. In the state of Illinois, a growth of about 25% in the Muslim population was found to be due to conversion. However, about 41% of these new Muslims in Illinois and 61% in the State of New York leave Islam within a few years
15. Salat: According to surveys three to four percent of Muslims attend weekly Friday prayers in America
16. This number is low compared to about 40 percent of Christians in America who attend their church at least once a week
17 and 15% of Jews who visit their synagogue once a week or more
18. It may be because Muslims don't get a day off on Fridays or their practice of Islam is nominal. We do not know for sure. Zakat: There are no statistics available on this topic. However, it is estimated Muslims in America donate about 100 million dollars every year to their relief organizations, Masjids, and schools. Not all of these donations are Zakat money and not all donations go through Muslim channels. Fasting: About 47% of all Muslims fast in the month of Ramadan
19 which is similar to 46% of Jews in America who fast on Yom Kippur
20. Muslims' Vote: Muslims voted in bloc for President Bush in the US presidential election 2000. There is no exit poll information available about the Muslim votes. Nevertheless, based on three unscientific surveys of Muslim voters, Muslims voted 70% to 90% in favor of Bush with a significant 34% voting for the first time. Muslims, therefore, became the only bloc vote for Bush. In Florida, the last battleground, there would not have been any battle without an estimated 60,000 votes which Florida Muslims asserted that they delivered in favor of Bush. There are more than 200 Muslim organizations and communities in Florida.If we take an arbitrary criterion of 70% or more votes as a sign of a bloc vote by a community, then three of the four distinct minorities who voted in bloc did so for Gore in election 2000. African-Americans with 90%, Jews with 80%, and gays and lesbians with 70% voted for Al Gore according to the CNN exit poll statistics
21. Note: Survey and research which is comparable about Muslims in America is hard to find. We will keep this profile updated through a version number and date at the bottom.

ENDNOTES 1. The World Almanac and Book of Facts 2001, World Almanac Books, Mahwah, NJ, 2001, P. 689. 2. Muslim of Illinois, A Demographic Report, Ilyas Ba-Yunus, East-West University, Chicago, 1997, p.93. "The Muslim community in the U.S. numbers some 7 million". William B. Milam (1999)
U.S. Ambassador to Pakistan. The ambassador increased the number by a million as compared to his speech a year ago in which he said there are six million Muslims in America. Certainly it suited him to say that in Pakistan. Public opinion survey organizations normally get about two percent Muslims in their samples. Although this is lower than their usual margin of error, since this number consistently shows up, it could be consider a good measurement. If this percentage is applied to the census 2000 total population figures, Muslims come out to be litlle over 5 million in America. 4. Kosmin, Barry & Seymour Lachman. One Nation Under God: Religion in Contemporary American Society; Harmony Books: New York (1993), pg. 88-93. The study show zero number of Muslims in 21 states including Washington State where several Muslim community center operate.5. Ba-Yunus, p.226. Robert Dannin, Island in a Sea of Ignorance, 1991. 7. Fareed H. Numan, The Muslim Population in the United States, American Muslim Council, Washington DC, 19908. Yvonne Haddad and Adair T. Lummis, Islamic Values in the United States (New York: Oxford Press, 1987), 3ff.9. Fareed H. Numan, The Muslim Population in the United States: Brief Statement, American Muslim Council, Washington DC, 199010. Zogby International Polls 2000 as published in the Jerusalem Post, Monday, June 26 2000.11. These figures are essentially from Illinois, Ba-Yunus, p. 25.12. Ba-Yunus p. 2613. Zogby Poll as referred earlier14. The Los Angeles Time Poll of the US Jews 1998. 15. Ba-Yunus p. 29. The statistics regarding New York are given to this author in a phone interview by Ba-Yunus. It will be published in a forthcoming book by him.16. Abdul Malik Mujahid, Unpublished Monograph about Muslim Attending Friday Prayers in Chicago, 1987. These figures also corelate with Ba-Yunus data that 9.8% male adults attend Friday prayers while only 5.3% of male adults pray five times a day. Ba-Yunus, p. 27. A forthcoming publication by the same author studying Muslims in New York state puts the number of Friday attendance in New York at 14% adult males.17. General Social Survey March 1999 release.18. The Los Angeles Time Poll as referred to earlier.19. Ba-Yunus p. 27.20. The Los Angeles Time Poll as referred earlier 21. Abdul Malik Mujahid, Monthly Impact International London, UK, December 2000.
 
MwanaFalsafa1
Tofautisha kati ya Saudi na USA. Saudi Arabia siyo USA. US ni nchi ya kila mtu. Saudi inahaki ya kufanya itakavyo kwa mujibu wa sheria wa zao.

That's hypocrisy of the highest caliber. Ndiyo yale yale ya chako chetu changu changu.
 
Obama yupo kama Bush tu. Vitu vidogo wanapanic, na kuescalate the issue. Hizi ndizo mistake alizofanya Bush, na naona Obama anafanya vilevile. Kazi kwao, wasichezee Misikiti, nyumba za Mwenyezi Mungu zenye wafuasi wa Ukweli.

mungu yupi?hebu tuondokee hapa,watu wanauwawa unasema vitu vidogo
 
ulitaka badala ya kuchukua hatua hizo awaite pale ikulu wanywe kahawa na kuongea au
 
Hiyo ndiyo hofu yako kaka! nani kakwambia Mmerakani ni nchi ya wakristo pekee? dunia yote ni mwenyezi mungu wengine wamefika merakani kwa lazima (watumwa), wengine wamefika kwa biashara, wengine wameitwa kwa kazi maalum wengine wamefika kueneza dini ya Allah kwakuwa ni wajibu..so hakuna wakumzuia muislam kwenda kokote!
As for Saudia I didn't undertand your argument nendeni mkajenge huko makanisa...who cares mbona yako zanzibar makanisa makubwa waumini hakuna ndugu mpaka wakati wa uchaguzi wanapokuja askari kutoka bara hufanya ibada lol.

Hivi hauelewi lugha ndugu? Saudi Arabia hawa ruhusu hata makanisa kujengwa, ni kinyume na sheria yao. Sasa tuambie nayo Saudi Arabia ni nchi ya kila mtu kama unavyo dai Marekani ni nchi ya kila mtu?
 
Ndiyo dunia ilivyo, sijaanzisha mimi huu mfumo. USA imechoose kuwa nchi ya kila mtu in order to gain economic advantage.

Kumbe unajua the world is not fair? Nashukuru. Basi usilalamike when the world is anfair to people of your religion. Kaa kimya ukijua dunia ndiyvyo ilivyo.
 
Back
Top Bottom