The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
kama umenielewa nilichokisema hiyo yote ni matendo yenye viashiria vya ushoga ndio maana nimesema sisi watanzania ni wanafiki kwa kushangilia hayo matendo huku tukipinga ushoga
suala la asili ni utashi tu wa kibinadamu kwani nani kasema lazima ulale usiku na mchana ufanye kazi
Hiyo nani kasema ndio hiyo unayoambiwa mambo ya asili.