Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,882
- Thread starter
- #41
Sheria zinatungwa na nani ?
Serikali ni nini na inaundwaje ?
Kwahiyo Fatma Karume siyo.sehemu ya jamii wala serikali ?
Maovu ni nini ?
Hivi unajua kufikiri sawa sawa kweli ??
Unauliza maswali ya kitoto.
Tafuta watoto wakujibu maswali yako.
Nimeshaelezea kwenye andiko majibu yote yapo humo